Experience yangu ya mapenzi na watu wazima (wamama)

Experience yangu ya mapenzi na watu wazima (wamama)

M
Eeh, Okonkwo umeanza kutuchocha (Ah zii...unataka vijana wetu wawakurupukie mama zao eeh?!!.
Hivi nyie mkienda kwa hao majimama sie wa size zenu twende wapi?
nanyie mkatafute ma babu huko muishi nao. Vise versa is true
 
Ndio mademu zangu hawa sasa hivi Niko Nainjoi na Penzi la jimama mwenye miaka 40,
Mi kwangu nina 25 ,kanipita kwa interval ya miaka 15,

Aiseee ni watamuu sanaa ,muda mwingi ananichulia kama mwanae wa kwanza mwenye miaka 22.

CC Zero IQ
 
Niliwahi date na mtu mzima tumbo flat na ni mzuri sana kama mr world yaani ni handsome balaa .
Ila wanaume wengi wadogo wanajua mahali pake kweli kushusha pumzi hadi raha.
Tofauti hawana shukurani .
Wababa wanayooo.
Nilienjoy sana kwa huyo baba mengii anajua kutunza anajua kupenda anakujali jamani.
Hawa vijana wao huanza na kukuzima pumzi tu unaenjoy ila woiiii hawajui kucare and their resposibility .
Hiyo ndio different between A father and A son.
 
Wadada wazuri wote njooni kwangu kwa maana mimi ndimi Alfa na Omega ya mapenzi yenu!,Mimi ndio kimbilio la burudani na kifuta machozi wenu..

Haswaaa mimi ndimi.. 😜😉


Agness......

Njoo uone hukuuuu....
 
Ndio mademu zangu hawa sasa hivi Niko Nainjoi na Penzi la jimama mwenye miaka 40,
Mi kwangu nina 25 ,kanipita kwa interval ya miaka 15,

Aiseee ni watamuu sanaa ,muda mwingi ananichulia kama mwanae wa kwanza mwenye miaka 22.

CC Zero IQ
Unasema kweli nakumbuka alikuwa hadi massage ananifanyia .
Hela anatoa kila nilalohitaji anafanya loh hii khali.
Yaani hakuchakazi vijana hadi roho anakutoa eti.
Unabakia mifupa
 
Unasema kweli nakumbuka alikuwa hadi massage ananifanyia .
Hela anatoa kila nilalohitaji anafanya loh hii khali.
Yaani hakuchakazi vijana hadi roho anakutoa eti.
Unabakia mifupa
Sanaaa

CC Zero IQ
 
Nawaza jinsi ambavyo mtu analilia mapenzi ya mtu aliyemzidi umri. Zamani tulizoea kumwona kilanmkubwa sawa na mzazi wako au dada/kaka mkubwa, leo hii watu wanataka mapenzi yao.

Hakuna anayeweza kwanini yupo hivyo alivyo leo, mbali na kumsifia heshima na kuyajua mapenzi??



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom