Exclusive: Wizi nyumbani kwa Rais Mstaafu Mwinyi

Hakuna cctv kwa mstaafu?
 

Umeniacha naumwa mbavu...pia sintoshangaa mzee yule akisema waachiwe huru,
 
Kuna mazungumzo yanaendelea kati ya mwenye kampuni ya ujenzi na Mzee Mwinyi. whether watafikia makubaliano lets wait and see.

Umeniacha naumwa mbavu...pia sintoshangaa mzee yule akisema waachiwe huru,
 
Hakuma mtt mwenye akiki timamu atakayeelewa. Taarifa zinasema mafundi walikuwa wanaingia na walinzi, sasa inakuaje wahusishwe?? Familia ya mzee Mwinyi imeanza utapeli. Mwinyi is now loosing his good reputation.

Si kweli huyo Mzee namtetea ila vijana wake ni wahuni, utawekaje ten mm ndani usijue ziko wapi??? Ukola huo, no case to unswer. Hao watu wamekamatwa na exibit??????????
 
Isijekuwa wamepanga ili wasiwalipe kwa kazi yao.

Kwa hali ilivyo sasa, jamaa wanaombea tu watoke na hiyo kazi ndiyo imetoka.

Sidhani kama watarudi hata kuchukua vyombo vyao.

Dunia hii, mtu anakamatwa tu hata bila ushahidi. Wao ushahidi upo wanasemwa "Mahakama itaamua."

Mahakama kabla haijaiona kesi, TAKURURU inamuosha mtu na kesi imekwisha.
 
Mnashangaa nini kama Msanii mmoja Dotnata anatumia Million kwa Siku, kuanzia kuweka mafuta Kwenye gari lake Range Rover Sport, kwenda Salon, Kula hadi wapambe , Kama wasanii wengi wanatumia laki saba kwa siku tunashangaa hizo, Mbona Mzee wa wa Vijisent anafua Nguo LONDON unafikili kuzisafilisha ni shilling ngapi, hizo hela ni matumizi tu ya kawaida. Kuibiwa angenyamaza tu huyu mzee, labda muibaji kasota sana pale Benki akisubili akopeshwe 5m bila mafanikio, hata hivyo anarudisha zilipotoka kwa wananchi
 

This is a joke jamani. Yaani m2 anasahau kama kawekewa 400m kwenye A/c?:frusty:
 
Hii so wamewatengenezea mafundi basi tunakubali kaweka ndani nani alikuwepo ? Nani kawaona mafundi wakichukua ? Hapa hamna kesi usumbufu na uonevu . Yana mwisho .katiba mpya itakayolinda haki na heshima ya watz wote
 
kwani pesa siku hizi zinatunzwa ndani? bank ni kwa ajili ya nani? me nashauri naye akamatwe kwa uzembe
 

Upuuzi mtupu.
 

Haya ndo mambo ya secret service agent wa JackBouer!
Imekaa ki udaku vle ila inaukweli ndani yake coz diz guyz they really knw how to f**k 'emselves
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…