Questt
JF-Expert Member
- Oct 8, 2009
- 3,010
- 422
The repot is now attached, changamkeni...!! sidhani kama hii itakaa hapa muda mrefu.
Can u re attach it please.....am facing some difficulties on opening this pdf..........
Thanx in advance
The repot is now attached, changamkeni...!! sidhani kama hii itakaa hapa muda mrefu.
Sijui hapa unataka kusema nini,kwamba fedha zilitolewa na Serikali kununua ndege mpya,lakini zimeibiwa? Au unataka kusema nini? Mimi nilikuwa Air Force pilot. Hizi report za ndege kuanguka sijazipata bado[sasa hivi nipo Singapore],nimetoka Dar es Salaam takriban two weeks ago,sasa hii ajali sijui imetokea lini.
Lakini hizi report ni misleading,kwa sababu Air Force wako mbioni kununua ndege mpya kutoka China. Nilikutana nao,wakaniambia wanakwenda Beijing kutafuta ndege mpya.
Sijui hapa unataka kusema nini,kwamba fedha zilitolewa na Serikali kununua ndege mpya,lakini zimeibiwa? Au unataka kusema nini? Mimi nilikuwa Air Force pilot. Hizi report za ndege kuanguka sijazipata bado[sasa hivi nipo Singapore],nimetoka Dar es Salaam takriban two weeks ago,sasa hii ajali sijui imetokea lini.
Lakini hizi report ni misleading,kwa sababu Air Force wako mbioni kununua ndege mpya kutoka China. Nilikutana nao,wakaniambia wanakwenda Beijing kutafuta ndege mpya.
Thank You!Inawezekana unaona umesema kitu cha hekima kweli hapa. Tuna kazi ndugu yangu. Sasa hata kama hujui kuna ajali imeua marubani wetu wawili wiki mbili tu zilizopita si itakuwa kazi kuanza kukuelezea.
Sijui hapa unataka kusema nini,kwamba fedha zilitolewa na Serikali kununua ndege mpya,lakini zimeibiwa? Au unataka kusema nini? Mimi nilikuwa Air Force pilot. Hizi report za ndege kuanguka sijazipata bado[sasa hivi nipo Singapore],nimetoka Dar es Salaam takriban two weeks ago,sasa hii ajali sijui imetokea lini.
Lakini hizi report ni misleading,kwa sababu Air Force wako mbioni kununua ndege mpya kutoka China. Nilikutana nao,wakaniambia wanakwenda Beijing kutafuta ndege mpya.