SILENT WHISPER
JF-Expert Member
- Jun 26, 2009
- 2,209
- 821
mtoto kama amepakwa asali...kaaaa!
halafu unaleta habari za kondom sehemu kama hiyo..!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mtoto kama amepakwa asali...kaaaa!
halafu unaleta habari za kondom sehemu kama hiyo..!
Hahahahaha msanii umenivunja mbavu:becky::becky::becky::becky: duh unataka za kuvutia stimu nite sio:becky:Mfukunyuzi picha bado hazijesha unaanza porojo
hebu mwaga picha hapa. mie natoka kidogo kufuata geisha dukani kwa mangi. nikute picha hapa na si hadhithi ebo!!
ungechora 4 mama, dah! utamu wote nje
Ninayo ya Kuwadi wao Mr. Hashimu Lundenga kama waihitaji niPMumevutiwa nae sana?
unayo namba yake unipe nimweleze?
ungechora 4 mama, dah! utamu wote nje
Wewe ni she au he mie huwa natolewa lunch na ma-she tuMore pic pls....Mfunyukuzi, nitafute B'dae nikupeleke lunch umeipendezesha siku yangu leo.
Utajua uko uko kwenye lunch. Nijulishe basi kama uko utakuwa tayari nikupitie?Wewe ni she au he mie huwa natolewa lunch na ma-she tu
sema wewe,mi huwa namuona kama mdudu mavazi yake na umbo lake haviendani kabisa.halafu wenake huwa wanamchorsha tu.kwanza ana deal gani mjini huyu?Duuuh yaani Fide mie huwa simwelewi hata kidogo mmm
Ni mwanamitindo maarufu humu mujinisema wewe,mi huwa namuona kama mdudu mavazi yake na umbo lake haviendani kabisa.halafu wenake huwa wanamchorsha tu.kwanza ana deal gani mjini huyu?
se