Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,304
Swali:
1.Kampuni ya Metel ina miliki mashamba ya katani yenye ukubwa wa hekta ngapi mkoani Tanga? ana aliyanunua kwa kiasi gani?
2.Tangu amiliki mashamba ya mkonge ameweza kuinua kilimo cha mkonge kwa kiasi gani?
1.Kampuni ya Metel ina miliki mashamba ya katani yenye ukubwa wa hekta ngapi mkoani Tanga? ana aliyanunua kwa kiasi gani?
2.Tangu amiliki mashamba ya mkonge ameweza kuinua kilimo cha mkonge kwa kiasi gani?