kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 18,558
- 16,713
Hallo Members!! Ladies and Gentlemen!!
Hii hapa tena interview ya aina yake,
Mada tajwa hapo juu ya husika!
Tutajadili mengi yanayohusu mambo ya mawasilino kwa Wapendanao hususani matumizi ya simu, emails etc.
Karibuni sana. Nipo na Heaven Sent.
Mnaweza kufuatialia mjadala bila kuchangia, mwishoni mtapata nafasi.
Host ni mimi mwenyewe.!!
Hii hapa tena interview ya aina yake,
Mada tajwa hapo juu ya husika!
Tutajadili mengi yanayohusu mambo ya mawasilino kwa Wapendanao hususani matumizi ya simu, emails etc.
Karibuni sana. Nipo na Heaven Sent.
Mnaweza kufuatialia mjadala bila kuchangia, mwishoni mtapata nafasi.
Host ni mimi mwenyewe.!!