Exclusive interview: Halima Mdee kuhusu mahusiano yake

Status
Not open for further replies.
Tumshauri asiogope kuolewa kwani wanaume wanaojiamini wapo tena wenye komitment, kuzaa hovyo ni uchafu zaidi
 
Simple and cheap mind discusses people's personal life!!! Are we that cheap guys? Discussing personal effects of our lady MP? Mods wakati mwingine huwa nashangaa thread nyingine mnaziacha, nyingine mnafuta mnasema eti ni personal attacks!!
 
Ujinga huu kwanza uyo mtangazaj amejichanganya. Badala yakumuuliza maswala ya maendeleo anamuuliza mambo ya ndoa! Wabongo Bwana
 

Khaa....Born on 18 March 1978)???!!.
..mboni bado mdogo kuanza hayo mambo!?
 
Ujinga huu kwanza uyo mtangazaj amejichanganya. Badala yakumuuliza maswala ya maendeleo anamuuliza mambo ya ndoa! Wabongo Bwana

usikurupuke ndugu,jiulize kilikuwa ni kipindi gani? Clouds fm wana vipindi/sessions nyingi, usitegemee session ya heka heka walete plan za ujenzi wa daraja la kigamboni, ala za roho cha usiku wa sa4 walete kipindi cha maendeleo ya taifa. Kila kitu kina muda wake.
 
Ujinga huu kwanza uyo mtangazaj amejichanganya. Badala yakumuuliza maswala ya maendeleo anamuuliza mambo ya ndoa! Wabongo Bwana

usichanganye ndugu,jiulize kilikuwa ni kipindi gani? Clouds fm wana vipindi/sessions nyingi, usitegemee session ya heka heka walete plan za ujenzi wa daraja la kigamboni, ala za roho cha usiku wa sa4 walete kipindi cha maendeleo ya taifa. Kila kitu kina muda wake.
 
Kama ndivyo, Mdee Halima hajawahi kufikishwa kileleni (orgasm). Studies zinaonyeshwa ni mimi pekee na wanaume wachache wanao wafikisha wenzi wao kilele. Mama S nae analalamika, kwa nn kaolewa na JK maana mambo hayawezi. HALIMA njoo kwangu na hautajuta ila utajilaumu kwa nn hukunitafuta mapema. Mawasiliano nyamkundugulu@yahoo.com
 
tunamtakia kila la khri lakini asitukane wanaumme kuwa hajakutana ambaye anajiamini yeye aseme hajakutana aliyempenda................
 

Una expect nini kutoka kwa mtu ambae katibu mkuu wake ni mzinifu?

Anaitangaza hasa haramu ya kuzaa nje ya ndoa.

Huyu hili jina la "Halima" ni la kupachikwa tu.
 
Weweeee hii picha ya Mbunge wa Bariadi Mashariki Mh.S.......bi umeipata wapi?- Sikonge naomba uipeleke kule Lagangabilili p'se
 
Ujinga huu kwanza uyo mtangazaj amejichanganya. Badala yakumuuliza maswala ya maendeleo anamuuliza mambo ya ndoa! Wabongo Bwana

Kwani yeye hana haki ya kupata "conjugal right" ?
 
Hizi sasa ni GOSSIPS NA POROJO HUMU JAMVINI, Guys why don't we come with ideal rather than these stories?

we mpuuz nn unajua uko jukwaa gani? nenda intelligence forum au jukwaa la elimu hapa story na umbea wa celebrities tu!!!
 
Si yupo kamanda Sugu amuonee huruma tu jinsi anavyozaa na vichaa akina Faiza
 
mwaka 78.. sindio kwaiyo iki fika 2018? nimiaka 40 kah.. apana. aiseh...
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…