BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,013
Huyo ni janga la Taifa Mkuu mpaka amalize muda wake nchi yetu itakuwa haitamaniki na si ajabu Watanzania wengi wasio na hatia watakuwa wamefungwa au kupoteza maisha yao katika mazingira ya kutatanisha.
Wa kulaumiwa ni JK hawa wote ni vimburu tu wa kutumwa.