Habari za Jumapili WanaJF.
Tuko live kuwaletea yatakayozungumzwa muda si mrefu hapa Makao Makuu ya CHADEMA Mtaa wa Ufipa, Kinondoni Jijini Dar es Salaam. Ni Mkutano wa ghafla juu ya harakati chafu zinazoendelea kufanywa na Serikali, CCM, na Jeshi la Polisi dhidi ya Chama chetu. Karibuni sana
cdm isiogope mbinu za mashaitwan wa kijani maana HATA SIKU MOJA uovu hauwezi kuushinda UKWELI!Habari za Jumapili WanaJF.
Tuko live kuwaletea yatakayozungumzwa muda si mrefu hapa Makao Makuu ya CHADEMA Mtaa wa Ufipa, Kinondoni Jijini Dar es Salaam. Ni Mkutano wa ghafla juu ya harakati chafu zinazoendelea kufanywa na Serikali, CCM, na Jeshi la Polisi dhidi ya Chama chetu. Karibuni sana
mzee, tunakujua we ni padre, lakini kwann unafadhili vitendo vya kinyama vya kumwagia watu tindikali, kulisha watu sumu na kutishia vikongwe na walemavu kwa pistol? Hoja ya rejao ina uzito kwa sababu wale mawakili hawafanyi kazi ya kanisa, wana watoto na familia zao zinazohitaji kula na huduma zingine mhm za kijamii. Note tht
acha ujinga ww, mungu hawezi kuwa na wamwagia watu tindikali, acha ushirikina
Naichukia chadema!!
Habari za Jumapili WanaJF.
Tuko live kuwaletea yatakayozungumzwa muda si mrefu hapa Makao Makuu ya CHADEMA Mtaa wa Ufipa, Kinondoni Jijini Dar es Salaam. Ni Mkutano wa ghafla juu ya harakati chafu zinazoendelea kufanywa na Serikali, CCM, na Jeshi la Polisi dhidi ya Chama chetu. Karibuni sana
Maskini Ludo wenzao wanakula matunda ya chama kwa upendeleo wa mawakili na dhamana yeye hata salamu hapati anaozeasero.
Kwanini hao CHADEMA wasiishtaki serikali ya CCM kwa sababu wana kila sababu ya kufanya hivyo, kwa wao kusema tu kwenye vyombo vya habari mie sioni kama inasaidia, zaidi naona wanatuzungusha tuu. Wapeleke hayo maswala kwenye vyombo husika ili tubaki na maswala ya kuikomboa nchi sio kila siku CCM, na CHADEMA tuu