Exaud Gaspery Mroso. Ni mhitimu wa Chuo Kikuu Mzumbe atekwa akiwa chuoni

Exaud Gaspery Mroso. Ni mhitimu wa Chuo Kikuu Mzumbe atekwa akiwa chuoni

Afisa_Nkai

Senior Member
Joined
Jul 5, 2025
Posts
183
Reaction score
273
Pichani ni EXAUD GASPERY MROSO. Ni mhitimu wa LLB Chuo Kikuu Mzumbe.

Ameripotiwa kuchukuliwa na watu wasiofahamika akiwa eneo la chuo hicho katika eneo la BOHARI (KINGALU).

Alienda Chuoni hapo kwa ajili ya kuhudhuria mahafari ya kuhitimu elimu ya Chuo kikuu yanayofanyika chuoni happ siku ya leo tar. 20. 11. 2025.

Jitihada kadhaa zimefanyika, kuhakikisha anapatikana lakini mpaka sasa hazijazaa matunda.

Tunaomba uutangazie umma.
Screenshot 2025-11-20 222606.png
 
Huwezi shindana na dola,wanatajana wanadakwa mmoja mmoja, habari ni hizohizo mbeya, Arusha,mwanza,mara,dar.. kila mtu sasa analia kivyake
Soon mtaanza kushughulikiwa na nyie, hii haiwezi kuendelea kama mnavyofikiria, na umekiri dola ndio inahusika, hii mafia style mnayotumia will backfire big time, mmeharibu nchi hamna haki tena ya kuongoza
 
Mnapaswa kujadili D9 na jinsi ya kuyauwa ma ccm na polisi wao.
Ukitekwa hurudi, hata ukitii sheria hurudi, bado kuna watu wanadhani kuna serikali.

watawala wataua mpaka mkae kimya.

Dawa ni kufunga mashule, na kazi zote tuingie mtaani kudai haki nchi nzima na kuyauwa ma ccm na ma polisi yote, bila hivyo mta post picha hadi mnaingia makaburini.
 
Utekaji unaathiri pia ujio wa watalii nchini ,waache wajichimbie kaburi...sector ya utalii inaenda kufa kwa ujinga wa Mafwele na magenge ya wahuni wenzake.
Yanaua businesses na uchumi kwa ujumla, na kilichotokea sijui kama kuna fund au mkopo beberu ataachia, watu wakianza kukosa mishahara ndio watajua hii ni battle yetu wote sio Gen Z peke yao
 
Back
Top Bottom