kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Jamani naomba ushauri
Mwaka jana nilikuwa kwenye mausiano na mwanamke fulani tulipendana saana mimi na huyo mwanamke
Kwa bahati mbaya tukaachana
Baada ya sisi kuachana nilikaa siku nyingi bila mpenzi. Sasa last week nilitongoza mdada fulani apa apa kijijini kwetu na kwa bahati nzuri. Demu akakubali ombi langu. Sasa Jana nilivyokuwa natoka shamba nikamuona demu yupo na yule ex wangu.
Walikuwa wanapiga story wao wawili tu. Ni kapita zangu pale. Kumbe uku nyuma yule ex wangu
Akamsimulia demu kuhusu past yetu mimi na yeye. Jioni Nikaona sms ya demu kuwa ana taka kuonana na mimi
Nilikwenda kuonana naye. Cha ajabu nilipewa jibu kuwa mimi na yeye basi. Nilijaribu kuuliza sababu mtoto wakike aligoma kutowa sababu
Ila nina jua ni ex wangu ndo kabomowa penzi hili
Je huyu ex wangu ni mfanyeje?
Mwaka jana nilikuwa kwenye mausiano na mwanamke fulani tulipendana saana mimi na huyo mwanamke
Kwa bahati mbaya tukaachana
Baada ya sisi kuachana nilikaa siku nyingi bila mpenzi. Sasa last week nilitongoza mdada fulani apa apa kijijini kwetu na kwa bahati nzuri. Demu akakubali ombi langu. Sasa Jana nilivyokuwa natoka shamba nikamuona demu yupo na yule ex wangu.
Walikuwa wanapiga story wao wawili tu. Ni kapita zangu pale. Kumbe uku nyuma yule ex wangu
Akamsimulia demu kuhusu past yetu mimi na yeye. Jioni Nikaona sms ya demu kuwa ana taka kuonana na mimi
Nilikwenda kuonana naye. Cha ajabu nilipewa jibu kuwa mimi na yeye basi. Nilijaribu kuuliza sababu mtoto wakike aligoma kutowa sababu
Ila nina jua ni ex wangu ndo kabomowa penzi hili
Je huyu ex wangu ni mfanyeje?