Ex wangu nenda, nakutakia maisha mema

Ex wangu nenda, nakutakia maisha mema

Bila ya shaka wewe umenogewa nae yeye kanogewa na X wake.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Hakuna demu wa peke yako mzee! kama unampenda basi we endelea nayeye jaribu kujiuliza kwann amekutafuta!! na anakuomba umsameheheehhe ni kwamba hakuna binadamu aliyekamilika kuna kuteleza mzee!

Hata mm na mpenzi wangu huwa tunakosana na tunarudiana tena unakuta kila mmoja anaweza akawa anakipoozeo chake kipindi cha kununiana lakini mwisho wa siku kila MTU anajirudi! hiyo papuchi yake sio ya kwako tu mzee Ila ukiweka akilini kuwa ni yako tu utawakimbia kila siku mzee na unaweza ukahisi umelaaniwa!!

Kuna wanandoa wanachepuka na kufumaniwa lakini mwisho wa siku wanakaa chini na kuyamaliza tofauti zao so mzee kama kweli unampenda basi naomba umtafute tena.

don't waste your time on lecturing me, this is 2020
 
Hakuna demu wa peke yako mzee! kama unampenda basi we endelea nayeye jaribu kujiuliza kwann amekutafuta!! na anakuomba umsameheheehhe ni kwamba hakuna binadamu aliyekamilika kuna kuteleza mzee!

Hata mm na mpenzi wangu huwa tunakosana na tunarudiana tena unakuta kila mmoja anaweza akawa anakipoozeo chake kipindi cha kununiana lakini mwisho wa siku kila MTU anajirudi! hiyo papuchi yake sio ya kwako tu mzee Ila ukiweka akilini kuwa ni yako tu utawakimbia kila siku mzee na unaweza ukahisi umelaaniwa!!

Kuna wanandoa wanachepuka na kufumaniwa lakini mwisho wa siku wanakaa chini na kuyamaliza tofauti zao so mzee kama kweli unampenda basi naomba umtafute tena

don't waste your time on lecturing me, this is 2020
Mweche aende hyo ni mcheza X

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna demu wa peke yako mzee! kama unampenda basi we endelea nayeye jaribu kujiuliza kwann amekutafuta!! na anakuomba umsameheheehhe ni kwamba hakuna binadamu aliyekamilika kuna kuteleza mzee!

Hata mm na mpenzi wangu huwa tunakosana na tunarudiana tena unakuta kila mmoja anaweza akawa anakipoozeo chake kipindi cha kununiana lakini mwisho wa siku kila MTU anajirudi! hiyo papuchi yake sio ya kwako tu mzee Ila ukiweka akilini kuwa ni yako tu utawakimbia kila siku mzee na unaweza ukahisi umelaaniwa!!

Kuna wanandoa wanachepuka na kufumaniwa lakini mwisho wa siku wanakaa chini na kuyamaliza tofauti zao so mzee kama kweli unampenda basi naomba umtafute tena

don't waste your time on lecturing me, this is 2020

Bora kukosa mali kuliko kukosa akili, nakushauri ndugu yangu usije oa wala kutengeneza familia ukiwa na akili hii utatesa watoto.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom