Hahahaha baadhi ya wanaume wa sikuizi wanaomba ushauri kwa vitu vya ajabuu... Kama Ni kweli ameoa Nampa pole mke wakeHivi serious kweli hujui ufanyeje? Hivi kweli issue kama hii ni ya kuleta huku ushauriwe?
habari ya mda wadau,
huyu dada aliniacha mwaka 2014 tena kwa nyodo mno, alikua dar na mimi nikiwa dodoma. niliumia sana maana nilikua nampenda, mwezi huu kapata kazi wilaya moja na mimi nilipo na kwa sababu anajua niko hapo kanipigia simu tukapiga story akaniambia maneno haya ninanukuu
"rafiki angu kumbe Mungu alijua wewe ulikua mume wangu lkn mimi nilikuzingua, nitakua nakuja kwako kupoza nyege then tunaendelea na maisha" na hivo anaomba wikendi hii aje kunisalimia.
ugumu ni kuwa mimi nimeoa na ninafamilia sasa japo siishi na mke wangu.
ushauri wenu wadau nisije kuvunja ndoa yangu maana nikimruhusu aje then tukajikuta tunapiga mech itakuaje kwa familia yangu? then mke wangu akijua kuwa kuna mgeni tena wa kike alikua kunisalimia nyumbani kwetu itakuaje?
Huyo ni wakala wa shetani anakuja na vifurushi kadhaa kama ofa kwao.. Anakija c vifurush kama vile UKIMWI, gono, nk...ol na ukipata tu hivy na vingineHabari ya mda wadau,
Huyu dada aliniacha mwaka 2014 tena kwa nyodo mno, alikuwa Dar na mimi nikiwa Dodoma. Niliumia sana maana nilikuwa nampenda, na mwezi huu kapata kazi wilaya moja na mimi nilipo na kwa sababu anajua niko hapo kanipigia simu tukapiga story akaniambia maneno haya ninanukuu
"Rafiki angu kumbe Mungu alijua wewe ulikuwa mume wangu lkn mimi nilikuzingua, nitakuwa nakuja kwako kupoza nyege then tunaendelea na maisha"
Anaomba wikendi hii aje kunisalimia.
Ugumu ni kuwa mimi nimeoa na nina familia sasa japo siishi na mke wangu.
Ushauri wenu wadau nisije kuvunja ndoa yangu maana nikimruhusu aje then tukajikuta tunapiga mechi itakuaje kwa familia yangu?
Then mke wangu akijua kuwa kuna mgeni tena wa kike alikuwa kunisalimia nyumbani kwetu itakuaje?
ITAKUWA NI MWL HUYO MDADA WA HIZI AJIRA MPYA.Habari ya mda wadau,
Huyu dada aliniacha mwaka 2014 tena kwa nyodo mno, alikuwa Dar na mimi nikiwa Dodoma. Niliumia sana maana nilikuwa nampenda, na mwezi huu kapata kazi wilaya moja na mimi nilipo na kwa sababu anajua niko hapo kanipigia simu tukapiga story akaniambia maneno haya ninanukuu
"Rafiki angu kumbe Mungu alijua wewe ulikuwa mume wangu lkn mimi nilikuzingua, nitakuwa nakuja kwako kupoza nyege then tunaendelea na maisha"
Anaomba wikendi hii aje kunisalimia.
Ugumu ni kuwa mimi nimeoa na nina familia sasa japo siishi na mke wangu.
Ushauri wenu wadau nisije kuvunja ndoa yangu maana nikimruhusu aje then tukajikuta tunapiga mechi itakuaje kwa familia yangu?
Then mke wangu akijua kuwa kuna mgeni tena wa kike alikuwa kunisalimia nyumbani kwetu itakuaje?
Hivi serious kweli hujui ufanyeje? Hivi kweli issue kama hii ni ya kuleta huku ushauriwe?
Hivi wanaume mpoje?
Hakuna msomi hapoKizazi cha laana kikijificha nyuma ya wasomi na wenye teknolojia ya juu[emoji26]
Hakuna msomi hapo