Ex wangu anataka kuja kwangu

Ex wangu anataka kuja kwangu

Kizazi hiki kimekuwa tegemezi sana kwa social media, unajua kuna watu anaamini kuwa katika hii mitandao ndio atapata maelekezo yote ya kundesha maisha yake. Ni hatari sana, watu hawafikirii kabisa, kila kitu anapeleka mtandaoni, anasifiwa kidogo, analia lia basi anaona maisha yake yanaenda.
Hakika, inasikitisha kwakweli. Maana huwa nasema bora mtu huyu awe teen, ama hakwenda shule kabisa. Sasa mtu anapokua kapita shule kisha anaomba kwa mambo ya kutumia busara ama akili, inatia shaka.
 
Hivi serious kweli hujui ufanyeje? Hivi kweli issue kama hii ni ya kuleta huku ushauriwe?
Hayuko serious huyu hivi kweli mwaume mpaka umefikia kuwa na familia yako hajui hii issue aimalizaje anaomba ushauri jf kweli?
 
Kila jambo unajibu lake tu sema hutaki kumwambia ukweli unataka kutenda dhambi sema hivi mimi hapana nimeoa kapoteze hamu zako kwa mtu mwingine because i love my family so much .
Basi mmblock asikupate naumkanye asilete mazoea
mpaka na sasa utakuwa tu wanjee baki naye huyo uache tamaa .
Sio rahisi namna hyo kuikataa papuchi
 
Papuchi si umeikalia hapo alafu unaliza tena
Sioni umuhimu wa kupapatikia kwani upo single si mtu anafamilia yake sioni sababu yakupapatikia mimi hata ndizi sioni sababu yakuipapatikia kama una 27 nakuendelea nikawaida wala sikitu kipya ndizi na watermelon
 
Sioni umuhimu wa kupapatikia kwani upo single si mtu anafamilia yake sioni sababu yakupapatikia mimi hata ndizi sioni sababu yakuipapatikia kama una 27 nakuendelea nikawaida wala sikitu kipya ndizi na watermelon
Kumbuka jamaa aliachwa kwa nyodo kwahyo atataka kula mzigo apunguze machungu kidogo
 
Kwanini aone jipya yeye anatakiwa aringe sio akubali kuletewa makomboo.
Mi hata uwe na ya gold sikurudii.
Unasema tu hapa nyumba ya keyboard lakini unatufunwa fresh na maisha yanaendelea
 
Back
Top Bottom