Habari ya mda wadau,
Huyu dada aliniacha mwaka 2014 tena kwa nyodo mno, alikuwa Dar na mimi nikiwa Dodoma. Niliumia sana maana nilikuwa nampenda, na mwezi huu kapata kazi wilaya moja na mimi nilipo na kwa sababu anajua niko hapo kanipigia simu tukapiga story akaniambia maneno haya ninanukuu
"Rafiki angu kumbe Mungu alijua wewe ulikuwa mume wangu lkn mimi nilikuzingua, nitakuwa nakuja kwako kupoza nyege then tunaendelea na maisha"
Anaomba wikendi hii aje kunisalimia.
Ugumu ni kuwa mimi nimeoa na nina familia sasa japo siishi na mke wangu.
Ushauri wenu wadau nisije kuvunja ndoa yangu maana nikimruhusu aje then tukajikuta tunapiga mechi itakuaje kwa familia yangu?
Then mke wangu akijua kuwa kuna mgeni tena wa kike alikuwa kunisalimia nyumbani kwetu itakuaje?