lemone grass
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 289
- 336
Hakika, inasikitisha kwakweli. Maana huwa nasema bora mtu huyu awe teen, ama hakwenda shule kabisa. Sasa mtu anapokua kapita shule kisha anaomba kwa mambo ya kutumia busara ama akili, inatia shaka.Kizazi hiki kimekuwa tegemezi sana kwa social media, unajua kuna watu anaamini kuwa katika hii mitandao ndio atapata maelekezo yote ya kundesha maisha yake. Ni hatari sana, watu hawafikirii kabisa, kila kitu anapeleka mtandaoni, anasifiwa kidogo, analia lia basi anaona maisha yake yanaenda.
Hayuko serious huyu hivi kweli mwaume mpaka umefikia kuwa na familia yako hajui hii issue aimalizaje anaomba ushauri jf kweli?Hivi serious kweli hujui ufanyeje? Hivi kweli issue kama hii ni ya kuleta huku ushauriwe?
Sio rahisi namna hyo kuikataa papuchiKila jambo unajibu lake tu sema hutaki kumwambia ukweli unataka kutenda dhambi sema hivi mimi hapana nimeoa kapoteze hamu zako kwa mtu mwingine because i love my family so much .
Basi mmblock asikupate naumkanye asilete mazoea
mpaka na sasa utakuwa tu wanjee baki naye huyo uache tamaa .
Mkuu samahani,Nyege ni nini ?Wewe hutaki kupunguza nyege?
Basi kubali uone what is papuchi by the way.Sio rahisi namna hyo kuikataa papuchi
Papuchi si umeikalia hapo alafu unaliza tenaBasi kubali uone what is papuchi by the way.
[emoji23][emoji23][emoji23] Cole yu wapi ajibu hili swali[emoji23][emoji125]Mkuu samahani,Nyege ni nini ?
Kumbe ni swali gumu hivyo!! Ukimuona basi,muulize halafu usisite kunipa jibu,sawa mkuu?[emoji23][emoji23][emoji23] Cole yu wapi ajibu hili swali[emoji23][emoji125]
Sioni umuhimu wa kupapatikia kwani upo single si mtu anafamilia yake sioni sababu yakupapatikia mimi hata ndizi sioni sababu yakuipapatikia kama una 27 nakuendelea nikawaida wala sikitu kipya ndizi na watermelonPapuchi si umeikalia hapo alafu unaliza tena
Kumbuka jamaa aliachwa kwa nyodo kwahyo atataka kula mzigo apunguze machungu kidogoSioni umuhimu wa kupapatikia kwani upo single si mtu anafamilia yake sioni sababu yakupapatikia mimi hata ndizi sioni sababu yakuipapatikia kama una 27 nakuendelea nikawaida wala sikitu kipya ndizi na watermelon
Kwanini aone jipya yeye anatakiwa aringe sio akubali kuletewa makomboo.Kumbuka jamaa aliachwa kwa nyodo kwahyo atataka kula mzigo apunguze machungu kidogo
Unasema tu hapa nyumba ya keyboard lakini unatufunwa fresh na maisha yanaendeleaKwanini aone jipya yeye anatakiwa aringe sio akubali kuletewa makomboo.
Mi hata uwe na ya gold sikurudii.