Jamani, Ex wangu ananionea wivu anionapo na wengine...! Je, hii ni kawaida? Nifanyeje; nimtungue, au?
Jamani, Ex wangu ananionea wivu anionapo na wengine...! Je, hii ni kawaida? Nifanyeje; nimtungue, au?
Mtungue!!!!
mtungue,ukimkosa mpotezee!
Duhhehehe!
eksigf?
Jamani, Ex wangu ananionea wivu anionapo na wengine...! Je, hii ni kawaida? Nifanyeje; nimtungue, au?
Jamani, Ex wangu ananionea wivu anionapo na wengine...! Je, hii ni kawaida? Nifanyeje; nimtungue, au?
bado anaku-love!
usimtungue!(kwani yeye embe mtini):A S 8:
duh...huyo inabid utueleze mliachanaje..mligombana? au mliachana kistaarabu? kama mligombana achana nae kama kistaarabu na huna mtu mwingine mtungue tu...lakini kumbuka..." za kupewa, chanyanya na zako"