pirates lil
JF-Expert Member
- Jun 14, 2016
- 960
- 911
anatka kuriwand tena kama bado utamu upoHabari za masiku wakuuu
Umeachwa na mpenzi wako tena anakuringia wewe sio mzuri Sana ni wa kawaida kuna watoto grade one wanaomba nafasi kila siku kazi kwangu kuwachagua ..
Anakuonyesha wazi akiwa na mwanamke...... Then anakuambia ... Naomba turudiane tuwe Kama zamani.... Hivi uyo atakuwa anataka nini.....?
Anakusistiza ukiwa na Mimi maisha yako yatakuwa mazuri..."hawa wanawake siwapendi nakupenda wewe tu " ..... Is this man serious of is saying.......? Wadau niambieni huyu mtu ni wa aina gani??
Hiyo paragraph ya mwisho yani ni sawa na kukwambia anakusaidia kwa kurudiana naye.Anakusistiza ukiwa na Mimi maisha yako yatakuwa mazuri..."hawa wanawake siwapendi nakupenda wewe tu " ..... Is this man serious of is saying.......? Wadau niambieni huyu mtu ni wa aina gani??
Kwamba?Ningekua nimewahi kuwa kwenye mahusiano ningechangia.
Napita tu
Kwamba sijawahi kuwa na mpenz so jimbo lipo waz natafuta mtu. Nadhan nimekujibuKwamba?
OKKwamba sijawahi kuwa na mpenz so jimbo lipo waz natafuta mtu. Nadhan nimekujibu
Mh kwa nini?There is that one X that I would risk my all for.. For the world would have ended around us and we wouldn't have noticed..!!!
Wow! Hii nzuri.Kama bado unampenda rudiana nae tu mimi nina rafiki yangu waliachana na gal wake wa tangu secondary, akarukia michepuko mingine baada ya miaka 8 akakutana na huyo gal tena kazaa wakapasha kiporo na sa hivi wameoana kabisa. Na wanamtoto tayari so inawezekana kazunguka kaona we ndo material kaamua kurudi.