Ex amerudi kwangu

Sasa ukisikia mwanaume wa dar ndio huyo.

Ila dada acha kuwa cheap bhasi,hizo huruma zako za kibinaadamu kwa lugha nyingine zinaitwaga umalaya.

Me naona kabla hujachukua ushauri kwaajiri ya jamaa hebu pata ushauri kwaajili yako kwanza.
 
...Ushauri wangu in kwamba....BADO NA WEWE UNAMPENDA! RUDIANENI!
Maana kusimamisha ama kutosimamisha kwake were kunakuhusu mini wakati mliishapigana Kibuti??
Ulikubalije kuingia Guest na X ambaye mliishana miaka miwili iliyopita...huku ukijua kabisa in mini kitakachoendelea??
 
Yaani mtu akinitajia tu Sinza baaasi baasi baasi baasi.

Ila dada ubaya haulipi msaidie mwenzio naamini muda si mrefu atarudi kuwa mumeo. Amini na weka maneno haya. Huyo ndio mumeo. Wakubwa tumeona mengi.
 
Nilikataa sana baadae nikakubali kishungo upande, nilikataa sana baadae nikakubali....haya maneno 'nilikataa sana' hayakuwa na ulazima wa kuwepo kwenye hii habari

Hahah
 
Ms CreditAnalyst unaendeleaje?
 

Aisee sijawahi kuona maumbile yaliolala Kwa namna ile kama ya mtoto mdogo kabisaaa
 
Alikua anataka kujua Kama uume wake haufanyi kazi.kwa.mkewe au mpnz wake TU au kwa watu wote.


Mwambie apime kisukari...anaweza kuwa Anaiyo shida.
Pia hata ngili au tezi dume...
Amshauri aidha kuonana na Dr hata na watu wazima wanaojielewa... Atapa ufumbuzi
 
Ukimwita demu wako wa zamani akakubali kuja basi anakuja uliwa tu. Hata wewe mwenyewe ulikuwa unataka, mazungumzo gani ya chumbani.
Huyo atakuwa keshafanyiwa mambo mwambie akamuone Mbunge Askofu Ustadh Ngwajima
 
Ukimwita demu wako wa zamani akakubali kuja basi anakuja uliwa tu. Hata wewe mwenyewe ulikuwa unataka, mazungumzo gani ya chumbani.
Huyo atakuwa keshafanyiwa mambo mwambie akamuone Mbunge Askofu Ustadh Ngwajima

Najiuliza maswali mengi sana au katembea na mke wa mtu akafanyiwa mambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…