Ex amerudi kwangu

Ex amerudi kwangu

Tuchki

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2017
Posts
1,740
Reaction score
1,446
Habari zenu wakubwa. Kuna kitu kimenitokea kama wiki mbili zilizopita nimekuja kwenu japo niondoe mawazo na maswali yangu.

Jambo lililonikuta ni kwamba niliachana na mpenzi ambae tulikaa kwenye mahusiano Kwa muda mrefu kidogo tulishindwa kufikia kwenye ndoa baada ya ndugu zake kuingilia mahusiano yetu na wakaamua kumshauri atafute mwanamke mwingine kwa kua mimi nilishililia msimamo wa ndoa kabla ya Kuishi pamoja.

Sasa imepita miaka miwili bila mawasiliano na huyo mwanaume lakini cha ajabu ni kua hivi karibuni alinitafuta na alitaka tuonane akidai kuna jambo anataka tuzingumze,kibinadamu nilikubali tukapanga kuonana ilipofika siku ya Miadi nikampigia simu akaniambia nimfate maeneo ya Sinza basi nikafanya kama alivyotaka nilipofika nikakuta ameshabook room akaniomba sana niingie ndani tuzingumze nilikubali japo kishingo upande.

Baada ya kuingia room akaniomba tupeane mapenz nilikataa sana kufanya hicho kitu kwa kua sikua tayar kurudiana nae alizidi kunilazimisha hatimae nilikubali kufanya alivyotaka lakin ajabu ni kua haikupita dakika tatu maumbile yake yakasinyaa kabisa ikawa hawez kufanyae chochote nikaamua kuondoka

Baada ya kama siku tatu akanitafuta tena Ilibid niende maana kichwani nilikua namaswali mengi kuhusu hali niliyom
uona nayo.

Kweli tulikutana na hali ikawa ni ile ile maumbile yanasimama Kwa sekunde kadhaa halafu yanalala kama ya mtoto mdogo nikaamua kumuweka chin nimuulize tatizo limeanza lini hasemi analia tuu namuuliza Kwa mwanamke wake iko hivyo Hataki kusema kitu analia yupo kama kachanganyikiwa.

Sasa maswali najuiliza je huyu mwanaume Kapata ugonjwa gani.

Je, ni kweli kuna wanaume hufanyiwa hivyo na wanawake zao kama limbwata asitembee na wanawake wengine na kama kafanyiwa hivyo iweje anitafute mimi ambae hatujawasiliana Kwa muda mrefu?

Akili pia inaniambia huyu jamaa amepata hili tatizo akiwa na huyo mwanamke na sasa ananitafuta Kwa kua kaona hana jipya

Naombeni ushauri nifanyaje nini na huyu mtu maana huruma ya kininadamu imenijia sasa hivi anaongea mwenyewe kama mtu aliechanganyikiwa na hana furaha na maisha
 
Achana na habari za huruma za kubeba mizigo ya watu...Hakua tayari kukuoa Wala kurudi kwake SI kwakukupenda Bali Ni anashida anahaha...angekuwa mzima Wala asingekukumbuka.

Usipoteze muda waku kuhangaika kwa nabii, mganga au doctor kwa ajili yake.


Muache akajiuguzee mbele huko.
 
Kama unampenda kaanae chini umuulize Nini tatizo na ikiwezekana msaidie.
Amsaidie Nini ..huyo mwanaume angekuwa mzima Wala asingemkumbuka huyo Dada..kwanini abebe mizigo ya huyo mpuuzi...Uangaike na madawa apone na bado akuache kwakua hakuwai kukupenda Tangu mwanzo.
Kumsaidia mtu katika matatizo yake especially male Sio guarantee kuwa eti atakujali nakukupenda...No
 
Amsaidie Nini ..huyo mwanaume angekuwa mzima Wala asingemkumbuka huyo Dada..kwanini abebe mizigo ya huyo mpuuzi...Uangaike na madawa apone na bado akuache kwakua hakuwai kukupenda Tangu mwanzo.
Kumsaidia mtu katika matatizo yake especially male Sio guarantee kuwa eti atakujali nakukupenda...No
Haina haja kulipa baya kwa baya, Kama angekuwa serious kwa muda wote huo walioachana asingekubali kumvulia nguo.....Ila kwasasa wasaidiane tu.
 
Haina haja kulipa baya kwa baya, Kama angekuwa serious kwa muda wote huo walioachana asingekubali kumvulia nguo.....Ila kwasasa wasaidiane tu.
Mkuu Ni kweli haitakiwi kulipa baya kwa baya..lakini huyo mwanaume Sasa anamanufaa gani kwa huyo dada ata akisema amuoe saiv...Huyo dada atakubali?

Kama anamsaidia amsaidie Kama rafiki tu....Sio Kwamba anatarajia kitu kutoka kwake especially upendo
 
Kweli Haa 😁😀😅😄😃😃
Tanzania Ni Tajiri
Umeachana Naye Miaka Miwili Akakuita Ukaitikia Wito
Akachukua Room Nawe Ulikuwa Unakwenda Kutekeleza Mitano Tena!!! Bahati Mbaya Ukakutana Na Dead Penis


Jiongeze Kidogo Fanya Maisha Kuwa Rahisi
Umemuuliza Hakujibu Analia Tu. Achana Naye Huo Ni Mzigo, Kuendelea Naye Unapoteza Muda





Cha Kufia Nini? Achana Naye Usihangaike
Njoo PM
 
Mkuu Ni kweli haitakiwi kulipa baya kwa baya..lakini huyo mwanaume Sasa anamanufaa gani kwa huyo dada ata akisema amuoe saiv...Huyo dada atakubali?

Kama anamsaidia amsaidie Kama rafiki tu....Sio Kwamba anatarajia kitu kutoka kwake especially upendo
Sawa.
 
Kweli Haa 😁😀😅😄😃😃
Tanzania Ni Tajiri
Umeachana Naye Miaka Miwili Akakuita Ukaitikia Wito
Akachukua Room Nawe Ulikuwa Unakwenda Kutekeleza Mitano Tena!!! Bahati Mbaya Ukakutana Na Dead Penis


Jiongeze Kidogo Fanya Maisha Kuwa Rahisi
Umemuuliza Hakujibu Analia Tu. Achana Naye Huo Ni Mzigo, Kuendelea Naye Unapoteza Muda





Cha Kufia Nini? Achana Naye Usihangaike
Njoo PM
Mitano tena iligoma 😂😂😂
 
Back
Top Bottom