Ewuraaaaaaaa

Ewuraaaaaaaa

Joined
Aug 17, 2009
Posts
60
Reaction score
4
Hivi Ewura kazi yenu ku2chezesha akili 2 na kubadili bei za mafuta kila kukicha?,hamuoni kuwa hii inaathiri sana wananchi wenye kipato cha chini,mafuta ya taa 1900 kwel mtanzania mwenye kipato cha sh.3000 kwa siku ataweza kwel?.Na serikal inashangilia 2 loool,inabidi kutafuta njia yakuzuia kupandishwa bei za mafuta kila uchao.
 
Hayo mafuta yasipande kwani yanatengenezwa Ubungo? Na kwa akili yako unaona yanapanda Tanzania tu?Tafakari.
 
Kwahili la kupandisha bei ya mafuta ya taa nadhani serikali ilikulupuka, nasema ilikulupuka kwa sababu sababu walizotuambia wanapandisha bei ya mafuta ya taa ni kutokana na uchakachuaji,
kama sababu ni uchakachuaji ni kweli serikali yetu imeshindwa kuwadhibiti wafanya biashara wa chache sana ambao tunaamini wapo dar na mikoa ya pwani, matokeo yake wanaamua kuwaadhibu watanzania wengi ambao hawana atia, ikowapi dhana ya msemo usemao serikali inamkono mrefu, je uo mkono mrefu wa serikali umeshindwa kuwabaini hawa wafanya biasha wachache??
Apa tunaomba serikali yetu wafikilie upya na waturejeshee bei ya zmani ya mafuta ya taa
 
Kwahili la kupandisha bei ya mafuta ya taa nadhani serikali ilikulupuka, nasema ilikulupuka kwa sababu sababu walizotuambia wanapandisha bei ya mafuta ya taa ni kutokana na uchakachuaji,
kama sababu ni uchakachuaji ni kweli serikali yetu imeshindwa kuwadhibiti wafanya biashara wa chache sana ambao tunaamini wapo dar na mikoa ya pwani, matokeo yake wanaamua kuwaadhibu watanzania wengi ambao hawana atia, ikowapi dhana ya msemo usemao serikali inamkono mrefu, je uo mkono mrefu wa serikali umeshindwa kuwabaini hawa wafanya biasha wachache??
Apa tunaomba serikali yetu wafikilie upya na waturejeshee bei ya zmani ya mafuta ya taa
Angalia wafanyabiashara wa mafuta walivyojaa kwenye kamati ya bunge ya Nishati na Madini ndo utapata jibu.
 
Back
Top Bottom