EWURA yatangaza bei mpya ya mafuta (Januari 06, 2015)

Aibu kwa Taasis hii ni kua mafuta yalishuka Bei wao wanabadili Bei miezi 6 baadae tena baada ya Bunge Kupiga kelele (mh. Zitto) ina maana serekali sasa haitimizi wajibu wake hadi bunge liingilie Kati?

Ila tukumbuke mafuta yakishuka Bei soko la kimataifa kwa % Fulani , haitawezekana Kushusha hapa kwetu kwa % hiyo hiyo kwani kuna gharama nyingine ambazo hazishuki sawia. Cha msingi EURA isiwakumbatie wafanya biashara wakubwa ikasahau kua kufanya hivyo kutachochea mfumko wa Bei na hali ngumu kwa wananchi.

Huo ni uongo na si ukweli, bei zimekuwa zikishuka na kupanda kila Jumanne ya kwanza ya kila mwezi, Zitto kawaona Watanzania majuha na kuchukuwa hiyo opportunity huku akijuwa fika Jumanne ya mwanzo wa mwezi bei zitabadilika.
 
[/FONT][/COLOR]
Hata hivyo, kasi ya kushuka kwa bei ya mafuta ni 40% wakati shilingi imeshuka kwa chini ya 10%. Katika hali ya kawaida na kwa kutumia mfumo wa kukokotoa bei wa EWURA, angalau bei ya mafuta ingeshuka kwa kati ya 15% and 25%.

Ni dhahiri mamlaka za nchi na hasa EWURA wanapaswa kuueleza umma ni kwanini bei za mafuta hazishuki kulingana na bei ya bidhaa hiyo katika soko la Dunia bila kutumia visingizio visivyo sahihi. Wananchi wana haki ya kujua na kama hakuna Maelezo basi bei hizo zishuke na wananchi wafaidike na punguzo hilo.

Chanzo: Kwanini bei ya Mafuta kwa walaji haishuki kwa kasi?Fikra Pevu
[/QUOTE]


Sikiliza wewe bei haiwez kwenda sawa nahuko tunakoagiza mafuta, hapa kwetu kila baada ya miez miwili ndio mzigo unaagizwa kwahyo muda wote sisi tunakuwa nyuma ya bei kwa 2months..
 
Mafuta yameshuka leo over 50 % kwa hiyo mafuta tuliyonunuwa November kwa bei ya juu ambayo unayatumia leo ulitaka yawe bei ya mafuta ya leo ambayo bado hayajafika Tanzania?

Unafikiri crude oil iliyoshuka bei leo, unaitoa leo hiihii, unai refine leo hiihii, unaisafirisha leo hiihii na inafika Tanzania leo hiihii?

Hebu tumieni akili zenu japo kiduchu, khaa!

Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?


Kwa mara yakwanza nimekupenda..lol .like like
 
Zitto ni opportunist, ewura wanatoa bei mpya kila mwezi mara moja, nayo ni Jumanne ya kwanza ya kila mwezi.

kudadeki,we mwanamke uko vizuri sana kichwani!tatizo lako kubwa na kasoro yako ni kuwa kada wa ccm.Tufanyaje utoke huko kwa wezi?
 
Why has it taken 6 month to effect changes?

Ina maana hawajawahi kuagiza new stock since price fall?

EWURA...joka la kibisa...
 
Ewura wanasita kupunguza bei ya mafuta kwa sababu kwa kufanya hivyo wanajipungzia fungu wanalopata. Mafuta yamepungua bei kwenye solo la dunia kwa zaidi ya 50% lakini wao wanapunguza kwa less than 5 percent.
Kweli kabisa mkuu. Bei ikipanda huko hapa napo tunapandishiwa asilimia ileile ila ikipungua huko hapa tunaambiwa haiwezekani kupugua kwa asilima ile ile kisiasa na masilahi binafsi tu.
 
Si mwanzo walipiga kelele kuwa bei itashuka baada ya miezi miwili au nilsikia vibaya!
 
Michuzi blog kumbe ndiyo inampangia JK lugha za kihuni? Hongera.

Hapana hii sio lugha ya kihuni isipokuwa ni maneno ya mtaani ambayo mengi ya maneno ya mtaani baadae hutumika katika mawasiliano ya kila siku kutokana na kuzoeleka na jamii husika kwa mfano maneno kama ,mikwara,kasheshe,noma,nk,isipokuwa hili neno la hela za madafu lenyewe limeshindwa kutoboa na kurasimishwa kwa kuwa wengi weweukiwa mmoja wapo waliliona sio neno zuri kulitumia lakini ni neno ambalo mtaani lipo kwa miaka mingi tu,yaani hii hela ni ya kununulia madafu tu
 
Sitetei mtu hapa, naweka ukweli tu "ukweli ukidhihiri uongo hujitenga" na hakuna chema kama ukweli.

Wee bibi unatumika vibaya sana! Jaribu kua mkweli maana kweli itakuweka huru! Sio kutetea upuuzi na upumbavu (wizi ,ufisadi,ujambazi,&uhujumu uchumi)tu!
 
Kwa mara yakwanza nimekupenda..lol .like like
Mkuu, mie sikuipenda hiyo post ya FaizaFoxy kwa sababu bei inapopata kwenye soko la dunia na hapa haipiti mwezi kupanda. Fikiria bei ya mafuta imeshuka toka June 2014 kwenye soko la dunia ndipo wanene wanatutangazia kupunguza bei ya mafuta jana tarehe 06 January 2015. Hii ni kichekesho kweli kweli.
 
Wee bibi unatumika vibaya sana! Jaribu kua mkweli maana kweli itakuweka huru! Sio kutetea upuuzi na upumbavu (wizi ,ufisadi,ujambazi,&uhujumu uchumi)tu!

Ukweli ndiyo huo, wakati wa Nyerere, Mwinyi na Mkapa sijawahi kuona bei za mafuta zikishuka hata duniani zikishuka.

Kwaa mara ya kwanza naona bei zikishuka na kupanda kutokana na soko ni huu wakati wa Kikwete.

Kwanini ukweli iwe ni utetezi? hivi nyinyi mnacholalamika hapa nini kama si ujinga wa kupinga kila kitu tu?
 
Ukweli ndyo huo, wakati wa Nyerere, Mwinyi na Mkapa sijawahi kuona bei za mafuta zikishuka hata duniani zikishuka.

Kwaa mara ya kwanza naona bei zikishuka na kupanda kutokana na soko ni huu wakati wa Kikwete.

Kwanini ukweli iwe ni utetezi? hivi nyinyi mnacholalamika hapa nini kama si ujinga wa kupinga kila kitu tu?

Hivi Faiza Foxy ww una mapenzi au ushabiki na JK personally au na chama ns serikali yake? Unalipwa kwa hii kazi unayofanya ya kumtetea? Kwa mtazamo wangu mm naona Kikwete ktk utawala wake ameshaboronga na hakuna mtu anaweza kushawishi wengi aseme Kikwete amefanya jambo lolote unique!
 
Wewe ni dhahiri kabisa hujawahi kununuwa mafuta Hata ya kutumwa wacha yako mwenyewe.

Hebu pita ukajionee bei zinavyopanda na kushuka toka 2012; Fuel Prices

Naona huwa mnakuja na utumbo kila aina ili mradi na nyie muandike tu, kitu kama hukijuwi usiwe na kiherehere kwanza fanya kautafiti japo kiduchu.
Mbona unatokwa povu bibi! Huwezi kutumia lugha nzuri hadi uongee kama upo kwenye vigodoro?

Umeacha hoja ya msingi na kuanza kubwabwaja. Nakuuliza ni lini kwenye soko la dunia kulikuwa na reduction ya oil price by more 50%? Pia usichanganye kushuka kwa bei ya mafuta kwenye soko la dunia na flactuation ya bei inayotokana na kushuka na kupanda kwa thamani ya dollar. Nakutaka wewe ndo ukafanye utafiti zaid ili uweze kufahamu mabadiliko hayo ya bei toka 2012 yalitokana na nini hasa? Thamani ya dollar, punguzo la kodi katika budget ya tanzania au kushuka kwa bei ya mafuta katika soko la dunia? Inawezekana wewe hujaelewa kiini cha mjadala na ndio maana unakuja na irrelevant examples.
 
Hivi Faiza Foxy ww una mapenzi au ushabiki na JK personally au na chama ns serikali yake? Unalipwa kwa hii kazi unayofanya ya kumtetea? Kwa mtazamo wangu mm naona Kikwete ktk utawala wake ameshaboronga na hakuna mtu anaweza kushawishi wengi aseme Kikwete amefanya jambo lolote unique!

Hivi kwanini ukweli uwe mchungu kwenu? Si mseme kama ikiwa mafuta kushuka bei iliwahi kutokea kabla ya Kikwete kuanzisha EWURA. Mnachuki binafsi?
 
Mbona unatokwa povu bibi! Huwezi kutumia lugha nzuri hadi uongee kama upo kwenye vigodoro?

Umeacha hoja ya msingi na kuanza kubwabwaja. Nakuuliza ni lini kwenye soko la dunia kulikuwa na reduction ya oil price by more 50%? Pia usichanganye kushuka kwa bei na flactuation inayotokana na kushuka na kupanda kwa thamani ya dollar. Nakutaka wewe ndo ukafanye utafiti zaid ili uweze kufahamu mabadiliko hayo ya bei toka 2012 yalitokana na nini hasa? Thamani ya dollar, punguzo la kodi katika budget ya tanzania au kushuka kwa bei ya mafuta katika soko la dunia? Inawezekana wewe hujaelewa kiini cha mjadala na ndio maana unakuja na irrelevant examples.

Juzi tarehe 5, na mwaka 2009 wakati wa Great Recession.
 
Bei mpya ya January kwenye pumps kuanzia leo..Petrol imeshuka kwa Sh 74 na diesel kwa Sh 63.
 
Hivi kwanini ukweli uwe mchungu kwenu? Si mseme kama ikiwa mafuta kushuka bei iliwahi kutokea kabla ya Kikwete kuanzisha EWURA. Mnachuki binafsi?

Mafuta yameshuka kwny soko la dunia mama sio kwenye soko la Kikwete! We vipi? Kipindi cha Nyerere, ohh Mwinyi, ohh Mkapa sisi kinatuhusu vipi? Tunaangalia tulipo leo! Hoja yako ni dhaifu.
 
Si Zitto pekee hata Sugu pia aliwastua na mmoja akajibu siasa tupu alinikwaza sana angekuwa karibu ningemtwanga kelub moja makini sana. Alianza oooh mafuta yananunuliwa kwa dollar you know na wote mnajua sh yetu (madafu kwa mujibu wa rais wa nchi) ilivyoshuka as if Malawi,Kenya na kwingineko ambako bei ya mafuta imeshuka sana wao wananunua kwa kwacha au Kshs na currency ziko stable always which is untrue. Guys lets be serious unamjibuje mbunge kwamba tunununua mafuta kwa USD? Who told you kwamba hajui hilo?
Khaa!! Mimbumbumbu ya bongo mtaendelea kupigwa hela hadi mwisho wa maisha yenu. Huyohuyo Zitto na Sugu wao wanakula fuel allowance ya shs 2,500/- kwa lita miaka nenda rudi. Hata hili linahitaji uwe na degree ya maisha?? Sijui akili zenu mmezitupa wapi!! :cool2:
 
Back
Top Bottom