Nadhani umeandika ukiwa cho..oni, msg yako in harufu mbaya sanaTaarifa nilizonazo kutoka kwa mbunge Fulani mwenye mabasi yaendayo Dodoma na mwenye jimbo mojawapo la Dodoma amesema NGalamgosi amekuwa hata rushwa hapokei hivyo wakaamua kumzunguka kupitia viongozi wakubwa. Kwa hiyo Serikali ilikuwa inatafuta njia yakumundoa ila hawakuwa na chochote chakufanya. Bahati nzuri hili la EWURA kutanganza kutaka maoni ya Juu ya leseni ya IPTL kimewauzi serikali kwani kumbe serikali ilitaka hilijambo lisitangazwe ila bali EWURA itoe lesseni kimyakimya. Kwa ufupi ni hivi serikali inataka IPTL iendelee kuzalisha umeme sasa kitendo cha Ngalamgosi kutangaza watu watoe maoni maana yake mission ya serikali ingegoma. Kutokana na hilio basi IPTL watapewa leseni kimyakimya.
Huyo alitaka aje aseme kwamba maoni ya wananchi yanapendekeza apewe leseniMkurugenzi wa EWURA kashatumbuliwa Jana sa7 Ucku anauguza majeraha saiv.. Mambo Yapo wazi anataka tutoe maoni gani sasa
EWURA wamezingatia matakwa ya kisheria mkuu.Jamani, inamaana huo mkataba wa miaka 20 na IPTL ulisainiwa 2002?! Mimi nilidhani ni mwaka 1995 hivyo uliisha 2015 na sio 2022??! Which is which?, na je, huo mkataba unawalazimisha EWURA kuwapa leseni?
Inamaana serikali hii ya JPM inania mbovu kiasi hiki na wananchi wake?Taarifa nilizonazo kutoka kwa mbunge Fulani mwenye mabasi yaendayo Dodoma na mwenye jimbo mojawapo la Dodoma amesema NGalamgosi amekuwa hata rushwa hapokei hivyo wakaamua kumzunguka kupitia viongozi wakubwa. Kwa hiyo Serikali ilikuwa inatafuta njia yakumundoa ila hawakuwa na chochote chakufanya. Bahati nzuri hili la EWURA kutanganza kutaka maoni ya Juu ya leseni ya IPTL kimewauzi serikali kwani kumbe serikali ilitaka hilijambo lisitangazwe ila bali EWURA itoe lesseni kimyakimya. Kwa ufupi ni hivi serikali inataka IPTL iendelee kuzalisha umeme sasa kitendo cha Ngalamgosi kutangaza watu watoe maoni maana yake mission ya serikali ingegoma. Kutokana na hilio basi IPTL watapewa leseni kimyakimya.
Mikataba inafichwa haipo wazi hata kwa wawakilishi wetu aka wabunge alafu kwenye maoni ndio uwazi unakuwepo (kuna kitu cha kujifunza hapa)IPTL SIJUI CHOCHOTE MAON YANGU HAYATAKUWA NA TIJA BILA KUONA MIKATABA HIYO
Jamani, inamaana huo mkataba wa miaka 20 na IPTL ulisainiwa 2002?! Mimi nilidhani ni mwaka 1995 hivyo uliisha 2015 na sio 2022??! Which is which?, na je, huo mkataba unawalazimisha EWURA kuwapa leseni?
Mkuu hili jambo linashangaza
Kwa upande wake, Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Sheria wa Ewura, Edwin Kidifu amesema mchakato unaofanyika sasa ni wa kisheria na maoni ya wadau ndiyo yataamua IPTL ipewe leseni au laa! Kidifu anasema IPTL imeomba kuongezewa muda wa leseni yake kwa sababu mkataba wake wa miaka 20 na Serikali wa utekelezaji wa mradi wa umeme unakwisha mwaka 2022.
Wana JF,
Tafadhali, rejea maelezo ya kaimu mkurugenzi wa huduma za sheria wa EWURA hapo juu.
Napata matatizo ya kuelewa inakuwaje mkataba unaoisha 2022 unaombewa kuongezewa leo hii 2017? Haingii akilini miaka mitano kabla ya muda kuisha IPTL inaomba kuongeza muda. Swali jingine la kujiuliza ni muda unaoombwa. Je ni muda wa kiasi gani unaoombwa? Kimsingi mikataba ya namna hii yenye utata ni vyema yote isitishwe mpaka irekebishwe na mamlaka husika. Kuendelea kuiongezea muda mikataba ya aina hii ni kuendelea kuwaumiza watanzania bila sababu ya msingi.
Mkuu hili jambo linashangaza
Wakati wanatia saini mikataba ya awali wananchi hawakushirikishwa. Jitihada za kupitia Bunge zilizimwa
Leo wanataka wananchi watoe maoni. Hili lina utata sana, nani anahakiki maoni hayo ya wananchi?
Kesho watakuja na hoja asilimia 99 wamesema mkataba uongezwe kwasababu wao ndio wenye takwimu
Hilo litajenga uhalali wa IPTL kuendelea na 'kazi'
Kwanini mkataba au hoja hizo zisipelekwe Bungeni na kupitia wabunge kuwe na mjadala wa wazi?
Hili litasiadia mbele ya safari kwasababu hoja zote zitakuwa mubashara, tutajua nani amesema nini na kwanini
Nadhani kuna mchezo unataka kuchezwa, suala la kushirikisha wananchi kwa siri sidhani kama lina nia njema
Tangu lini EWURA na Mashirika mengine ya UMMA yakaomba maoni/ushauri kutoka kwa wananchi, huu kama si usanii ni kitu gani - kusimamishwa Mkurugenzi Mkuu ndiyo mnakumbuka kwamba kumbe Tanzania inaweza kuwa na Wananchi wenye ushauri/maoni ambayo yanaweza kuwa msaada mkubwa kwenu?
Friday, June 9, 2017
Ewura yaomba wananchi kutoa maoni ya IPTL
Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa Ewura, Titus Kaguo
Kwa ufupi
Akitoa ufafanuzi kuhusu suala hilo leo Ijumaa jijini hapa, Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa Ewura, Titus Kaguo amesema kuna baadhi ya watu wanapotosha umma kwamba tayari IPTL wameshapewa leseni ya kuiuzia umeme Tanesco.
By Peter Elias, Mwananchi pelias@mwananchi.co.tz
Dar es Salaam. Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) imewataka wananchi kuwa wazalendo kwa kujitokeza kutoa maoni kuhusu dhamira ya Kampuni ya kufua umeme ya IPTL kuomba kuongezewa muda wa leseni yake ya kuiuzia Tanesco umeme.
Akitoa ufafanuzi kuhusu suala hilo leo Ijumaa jijini hapa, Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa Ewura, Titus Kaguo amesema kuna baadhi ya watu wanapotosha umma kwamba tayari IPTL wameshapewa leseni ya kuiuzia umeme Tanesco.
"Ewura tunapokea maoni ya wananchi kwa maandishi, kwa hiyo itakuwa ni jambo la kizalendo kwa wananchi kujitokeza na kutoa maoni ama kupinga IPTL au kuunga mkono ili itusaidie nasi kufanya uamuzi," amesema.
Kwa upande wake, Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Sheria wa Ewura, Edwin Kidifu amesema mchakato unaofanyika sasa ni wa kisheria na maoni ya wadau ndiyo yataamua IPTL ipewe leseni au laa!
Kidifu anasema IPTL imeomba kuongezewa muda wa leseni yake kwa sababu mkataba wake wa miaka 20 na Serikali wa utekelezaji wa mradi wa umeme unakwisha mwaka 2022.
Mkuu kama sikosei hili tangazo la kuwataka Watanzania watoee maoni yao lilitangazwa kabla ya huyo DG kutumbuliwa.
Hapa kuna jambo, lini hawa wasiotaka mikataba ionekane wawe weeema kiasi cha kutaka maoniTangu lini EWURA na Mashirika mengine ya UMMA yakaomba maoni/ushauri kutoka kwa wananchi, huu kama si usanii ni kitu gani - kusimamishwa Mkurugenzi Mkuu ndiyo mnakumbuka kwamba kumbe Tanzania inaweza kuwa na Wananchi wenye ushauri/maoni ambayo yanaweza kuwa msaada mkubwa kwenu!! Taifa letu tulivyo wa ajabu wakati mwingine, a very responsible person Serikalini anakuja na hoja kwamba linapo kuja saula la mikataba baina ya wawekezaji na Serikali/Shirika la UMMA ni SIRI, I hope uongozi wa awamu ya tano awawezi ku-entertain upuuzi huu - Taifa linapigika kijinga kutokana na Watanzania wenzetu kukosa UZALENDO wa kweli, wanao fanya mambo haya wanajulikana lakini hawachukuliwi hatua yoyote wanaendelea na matanuzi bila woga wana mali zakushangaza they're totally untouchable. Binafsi napendekeza baada ya kumaliza zoezi la waajiriwa hewa na vyeti feiki basi Serikali ijikite kuwachunguza watu hawa i.e uchunguzi unao endelea kwa waajiriwa wa TMAA umulike mashirika ya Hifadhi za jamii, TRA, Tanesco, EWURA, TBS, Sugar Board of Tanzania, Bandari na TDFA.