EWURA waridhia kupandisha bei mafuta, bei mpya hizi hapa!

Status
Not open for further replies.
Hata hivyo hiyo wizara kiujumla hana wataalam hata kidogo, moja sababu ya kubwa ya wizi wa madini ni kukosa wataalam wa ndani waliobobea katika madini, wengi ni juniors ambao bado hawajui lolote bado wanajifunza kuandia na kusoma.
 
mkuu huyu mleta maada ninavyoona ni kam vile anafikiria kwa kutumia masaburi. Yaani haelewi ila anakurupuka tu, sijui kalewa mbege? Aggghhhh!!! nashindwa hata kumjaji.
<br />
<br />
yaani mkuu nimemsoma nikapata kichefuchefu. tatizo letu watz tu wavivu kusikiliza na kusoma na kwa sababu hiyo tunaweza kudanganyika na people like huyo anayejiita mtaalamu wa cost accounting. i tell u if i was ewura ningewabana zaidi hao jamaa wa mafuta on demurage. nisingeongezea from 3 to 15
 
jamani watanzania wenzangu sisi mbona tumekuwa kama kuku bora, hivi inakuwaje tunapelekwa tu, kama kuna ukweli kuhusu ili EWURA, ifutwe tu moja kwa moja, na memba wake wafikishwe mahakamani kwa kuujumu uchumi kwa kudanganya umma.
 
QUOTE=Simcaesor;2355722]jamani watanzania wenzangu sisi mbona tumekuwa kama kuku bora, hivi inakuwaje tunapelekwa tu, kama kuna ukweli kuhusu ili EWURA, ifutwe tu moja kwa moja, na memba wake wafikishwe mahakamani <b>kwa kuujumu uchumi kwa kudanganya umma.</b>[/QUOTE]<br />
<br />
Hivi tukusaidieje mkuu? Changamsha ubongo huo ina maaana hujawahi kusikia mafuta yanaagizwa nje? Fuatilia kwa makini ujiridhishe
 
Mkuu mtoa mada ingekuwa vyema kama ungeainisha kwamba ni kwa kiasi gani kwa mfano walikosea kukokotoa kwa takwimu angalau mbili tatu hivi hii ingetufaa sana, heshima kwako na wapenda nchi wote.


Nilishatoa maada kama hii, ikiwa na jina TRA<EWURA<TBS etc ndio chanzo cha bei kupanda, nikaweka template na wengine nimewatumia kwenye email zao, watu wakasema, nimetumwa na wauza mafuta.

just search that tittle, utaona namna bei ya mafuta inavyopatikana utajua nani chanzo
 
mtoa mada una uhakika kwamba wameridhia? bei hizo mpya za wk ijayo umeziona wapi? kama ungesikiliza kipima joto itv jana ungeelewa usanii wa wauza mafuta kwenye demurrage charges. ungeelewa kuwa hata sasa kwa kanuni hii mpya ewura ingetakiwa kubana tena kwenye hizo charges. with the current formula the determinant factors ni bei kwenye soko la dunia na exchange rate ya dola vs tshs.


Jana nimesikiliza kipima joto, na hawakuweka mtu wa mafuta, Hansi nimsafirishaji wa mafuta na sio muuza mafuta, muuza mafuta hawezi kwenda pale, kwani wa Engen aliwakilisha Association ya wauza mafuta akaonekana yeye kichwa maji,

EWURA walidanganya wananchi kuwa kuna meli zinatafuta wanaonunua mafuta, rafiki yangu huo ni udhushi tena si kidogo, Ukumbuke kuleta, meli Tanzania is very risk, ukizingatia wasomali wametanda pale kati, Isitoshe ili uweze kupata mafuta yafuatayo yanatokea,

1. Lazima upeleke dhamana ya Benki,
2. Uingie Mkataba wa kukopeshwa kwani huwezi lipia mafuta kabla hujayauza, is very expensive
3. Hakuna Muagizaji anayeweza agiza meli yake peke yake, kwani zinasheheni mzigo mkubwa sana
4. Prior agreement and negotiations


Wangeniita ningeweza waonyesha actual template.



MSIDANGANYIKE KAMA WATOTO
 
Kama huamini bei itapanda wiki ijayo basi subiri si zimebaki siku chache tuu
 
TOTAL hawajashusha bei. Huwezi kugundua kwa sababu ya ujanja wao.

Ujanja ni kwamba, corporate customers wao waliamua wengi watumie card filling system. Unapojaza mafuta unatumia prepaid card.

Mimi natumia card. Label kituoni inaonyesha kuwa wameshusha. Kwa non corporate huwezi kugundua kwani imeshuka kweli.

Ukiwauliza wanasema kuwa bei mpya haijawa updated kwenye card server yao!

Hivyo ikipanda bei next week basi watakuwa hawajapata hasara kwani ni kama hawajawahi kushusha!
 
Jana nimesikiliza kipima joto, na hawakuweka mtu wa mafuta, Hansi nimsafirishaji wa mafuta na sio muuza mafuta, muuza mafuta hawezi kwenda pale, kwani wa Engen aliwakilisha Association ya wauza mafuta akaonekana yeye kichwa maji,<br />
<br />
EWURA walidanganya wananchi kuwa kuna meli zinatafuta wanaonunua mafuta, rafiki yangu huo ni udhushi tena si kidogo, Ukumbuke kuleta, meli Tanzania is very risk, ukizingatia wasomali wametanda pale kati, Isitoshe ili uweze kupata mafuta yafuatayo yanatokea,<br />
<br />
1. Lazima upeleke dhamana ya Benki,<br />
2. Uingie Mkataba wa kukopeshwa kwani huwezi lipia mafuta kabla hujayauza, is very expensive<br />
3. Hakuna Muagizaji anayeweza agiza meli yake peke yake, kwani zinasheheni mzigo mkubwa sana<br />
4. Prior agreement and negotiations <br />
<br />
<br />
Wangeniita ningeweza waonyesha actual template.<br />
<br />
<br />
<br />
MSIDANGANYIKE KAMA WATOTO
<br />
<br />
 
Kama huamini bei itapanda wiki ijayo basi subiri si zimebaki siku chache tuu
<br />
<br />
bei inaweza kupanda yes . i have no prob with that! kitakachopandisha ni either prices kwenye world market or kuporomoka kwa sh yetu period! sio kwamba ewura wameriview template ya bei na kurekebisha swala demurage. kubadilisha template ya bei sio issue ya siku 2-it is a process inayofuta rules. nenda website ya ewura usome uelewe. hiyo costing unayoitaka ww ni ya kujumlisha gharama
 
Jana nimesikiliza kipima joto, na hawakuweka mtu wa mafuta, Hansi nimsafirishaji wa mafuta na sio muuza mafuta, muuza mafuta hawezi kwenda pale, kwani wa Engen aliwakilisha Association ya wauza mafuta akaonekana yeye kichwa maji,<br />
<br />
EWURA walidanganya wananchi kuwa kuna meli zinatafuta wanaonunua mafuta, rafiki yangu huo ni udhushi tena si kidogo, Ukumbuke kuleta, meli Tanzania is very risk, ukizingatia wasomali wametanda pale kati, Isitoshe ili uweze kupata mafuta yafuatayo yanatokea,<br />
<br />
1. Lazima upeleke dhamana ya Benki,<br />
2. Uingie Mkataba wa kukopeshwa kwani huwezi lipia mafuta kabla hujayauza, is very expensive<br />
3. Hakuna Muagizaji anayeweza agiza meli yake peke yake, kwani zinasheheni mzigo mkubwa sana<br />
4. Prior agreement and negotiations <br />
<br />
<br />
Wangeniita ningeweza waonyesha actual template.<br />
<br />
<br />
<br />
MSIDANGANYIKE KAMA WATOTO
<br />
<br />
Sorry, but I hate you! Kwa sababu unadanganya! EWURA wanavyosema kuna meli ambazo already ziko loaded na GAS haimaanishi hizo meli ziko pwani ya Afrika Mashariki. Wanamaanisha yaweza kuwa pwani ya Uarabuni etc. Acha kuona watu wapuuzi wakati hata hisabati hujui... No research no right to speak.
 
Ni ukweli usiofichika kwa wale wote watalaamu wa Costing, kuwa EWURA waliishauri vibaya serikali na kusababisha wananchi kuteseka bila mafuta, Mgomaji wa kwanza ni serikali yenyewe kupitia kampuni yake ya BP ambayo inamilikiwa na serikali pamoja na PUMA Energy asilimia 50 kwa 50.


EWURA walikosea makadirio ya Demmurrage charges, na kutaka kwa wauza mafuta wauze chini ya gharama ambazo hata kichaa hawezi kuuza kwa bei hiyo, matokeo yake watu tumeuziwa uchafu wa mafuta na sio mafuta tena kwa bei mara 3 ya bei ya kawaida, tumefedheheshwa, tumeshuka kiuchumi, na hata wengine kukosana na wakubwa wetu wa kazi.

SERIKALI IFANYE UCHUNGUZI NA ITAKAPO BAINI MWENYE HATIA AFUNGWE KWA HESHIMA YA NCHI, EWURA WATAFUTE WATAALAMU NA SIO VIJANA AMBAO WANA ELIMU ZA KU-UNGA UNGA, NA KUTULETEA KERO.


WAKISHINDWA WAWACHUKUE VIJANA KWENYE MAKAMPUNI BINAFSI, TUPO WENGI.





KATONGO ACCOUNTS SERVICES
katongo2002@gmail.com

Hakuna cha maana ulichoongea hapa!, onesha utaalam wako basi, au na wewe ndio costing yako ya certificate ya CBE unataka kuombea kazi ya kuchambua mifumo kama huu wa mafuta?!, unadhani mchezo?
 
Ingawa hata bila ya kutoa bei mpya, wachache tuliona kama EWURA walikosea sana kwenye suala la calculation na regarding old stock,
But naona kama mtoa mada anajipigia "promo" zaidi kuliko kutuhabarisha kilichotokea.
 
hawa ewura nao wanajichanganya kabisa ,sasa tuamini kipi kama wamesitisha leseni ya uuzaji wa jumla na kuipeleka mahakamani wakati serikali inahisa 50% kweli hapa napo pamekaaje?jke serikali si inaingia hasara kwa kutokufanya biashara wakati ni mwana hisa?
 
Jana nimesikiliza kipima joto, na hawakuweka mtu wa mafuta, Hansi nimsafirishaji wa mafuta na sio muuza mafuta, muuza mafuta hawezi kwenda pale, kwani wa Engen aliwakilisha Association ya wauza mafuta akaonekana yeye kichwa maji.

EWURA walidanganya wananchi kuwa kuna meli zinatafuta wanaonunua mafuta, rafiki yangu huo ni udhushi tena si kidogo, Ukumbuke kuleta, meli Tanzania is very risk, ukizingatia wasomali wametanda pale kati, Isitoshe ili uweze kupata mafuta yafuatayo yanatokea:

1. Lazima upeleke dhamana ya Benki,
2. Uingie Mkataba wa kukopeshwa kwani huwezi lipia mafuta kabla hujayauza, is very expensive
3. Hakuna Muagizaji anayeweza agiza meli yake peke yake, kwani zinasheheni mzigo mkubwa sana
4. Prior agreement and negotiations

Wangeniita ningeweza waonyesha actual template.

MSIDANGANYIKE KAMA WATOTO
Watanzania wenzangu acheni kudanganywa na watu ambao nadhani hata hesabu za logic na algebra ambazo ndio hesabu rahisi sana hawazijui.

Facts: Wafanyabiashara wa Gas/Mafuta wana sababu mbili za aidha kutopenda kushusha bei au za kuweka markup ndogo. Na sababu hizi kwa mtizamo wangu ziko genuine sana:

1. Bei ya mafuta ya soko la dunia sio stable. Hivyo shehena uliyonunua leo ukirudi kesho unanunua ndogo zaidi.
2. Tatizo kubwa thamani ya TZS sio stable hivyo kwa kuwa unauza mzigo wako kwa TZS. Unaweza by the time unamaliza mzigo _uki-convert to US $ ukashangaa unanunua shehena ndogo zaidi au kuingia hasara.

Sasa ukiwa mfanyabiashara yeyote yule uta-make sure unaweka margin kubwa ya faida ili usiathirike na hayo hapo juu. Hivyo twaweza uziwa GAS bei ghali kwa sababu hizo tu. Hizo zikiondoka na wafanya biashara waka-ona bei na exchange rate imetengemaa hatuwezi kuwa na matatizo tuliyo nayo leo.

Sasa: EWURA wakipandisha bei ili tuone aliyosema mtoa hoja ni kweli. Lazima reference iwe siku hiyo walioamua. Kwa sabubu kilichoamualiwa jana/juzi sicho kitakachokuwa kesho. Hivyo mtoa hoja hana jipya.
 
BP hajazuiwa kuuza Mafuta,
Ni usanii tu wa kutishiana ili wengine waogope, na wengine wawaone kama wana maamuzi.
Kitakachotokea ni kua BP watauzia vituo vyao kama kawaida but kupitia Makampuni mengine,
Yaani BP atakua anayahamishia kwa kusingizia kayauza kwa GAPCO ambapo vituo vyake vitachukulia hapo GAPCO, mchezo umekwisha!!
 
Wadau Ngeleja leo kapokelewaje? Maanaye leo nimemsikiliza kidogo umeme wao wakaukoma,Wanamagamba wameendelea as usual wanagonga meza kama wehu!
 
Ni ukweli usiofichika kwa wale wote watalaamu wa Costing, kuwa EWURA waliishauri vibaya serikali na kusababisha wananchi kuteseka bila mafuta, Mgomaji wa kwanza ni serikali yenyewe kupitia kampuni yake ya BP ambayo inamilikiwa na serikali pamoja na PUMA Energy asilimia 50 kwa 50.

EWURA walikosea makadirio ya Demmurrage charges, na kutaka kwa wauza mafuta wauze chini ya gharama ambazo hata kichaa hawezi kuuza kwa bei hiyo, matokeo yake watu tumeuziwa uchafu wa mafuta na sio mafuta tena kwa bei mara 3 ya bei ya kawaida, tumefedheheshwa, tumeshuka kiuchumi, na hata wengine kukosana na wakubwa wetu wa kazi.

SERIKALI IFANYE UCHUNGUZI NA ITAKAPO BAINI MWENYE HATIA AFUNGWE KWA HESHIMA YA NCHI, EWURA WATAFUTE WATAALAMU NA SIO VIJANA AMBAO WANA ELIMU ZA KU-UNGA UNGA, NA KUTULETEA KERO.


WAKISHINDWA WAWACHUKUE VIJANA KWENYE MAKAMPUNI BINAFSI, TUPO WENGI.
Mkuu hasira zako zinaonekana kupoteza maana ya arguement yako, unaonaje ukirekebisha in red au na wewe ni mhasibu wa kampuni za kiarabu tu za kuridhi kutoka kwa akina babu
 
bei inaweza kupanda yes . i have no prob with that! kitakachopandisha ni either prices kwenye world market or kuporomoka kwa sh yetu period! sio kwamba ewura wameriview template ya bei na kurekebisha swala demurage. kubadilisha template ya bei sio issue ya siku 2-it is a process inayofuta rules. nenda website ya ewura usome uelewe. hiyo costing unayoitaka ww ni ya kujumlisha gharama
Rafiki tatizo hapa ni serikali iliyotaka kupata credit kwa kushusha bei ya mafuta haraka bila kujadiliana na waagizaji wa mafuta. Kwenye hili swala la kushusha mafuta tunasikia tu upande mmoja wa EWURA wakitaka makampuni yatekeleze amri ya kushusha mafuta. Haiwezekani makampuni yote yakagoma kushusha bei wote. Kuna tatizo hapa.

Na unavojua kampuni kama BP si kampuni mchezo na wala hawana chembe ya ubabaishaji au kupindisha sheria ndio maana wanaigomea serikali make taratibu zote wanazifuata wakijua hata serikali ikiwashitaki itaumbuka tu. Mwezi wa sita ushuru unashushwa, mwezi wa saba bsi zinatakiwa kushushwa. Mafuta waliyolipia kodi zaidi serikali inakubali kuwarudishia pesa walizotoa kodi?

Hapa kuna tatizo ndio maana makampuni yanagoma. Tena BP. Yangekuwa haya makampuni ya kiswahili Oilcom, Moil, Camel na wababaishaji wengine ningewaelewa lakini BP. Hapa serikali imekurupuka. Ni makosa ya serikali ambayo inataka kuyakwepa kwa kubebesha waagizaji mzigo mbele ya jamii iliyochoka.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom