Nauliza hili kwenu mamlaka ya Ewura mnisaidie kwasababu huku Mtongani na kuelekea Ununio bei ya gesi ya mihan mtungi wa kati ni shilingi elfu hamsini sawa na bei ya oryx!
Maeneo ya Mkwajuni Kinondoni mtungi wa gas ya mihan ule wa kati unauzwa shilingi elfu arobaini na tano tu. Inakuwaje huku Mtongani tena mkoa huu huu bei iwe juu hivyo?
Ewura tupieni jicho pande hizi kwani tunaumizwa pasi na sababu. Ikibidi makampuni yanauza gas hizi yafungue maduka yao huku badala ya hawa mliowaachia wanawaharibia biashara.
Maeneo ya Mkwajuni Kinondoni mtungi wa gas ya mihan ule wa kati unauzwa shilingi elfu arobaini na tano tu. Inakuwaje huku Mtongani tena mkoa huu huu bei iwe juu hivyo?
Ewura tupieni jicho pande hizi kwani tunaumizwa pasi na sababu. Ikibidi makampuni yanauza gas hizi yafungue maduka yao huku badala ya hawa mliowaachia wanawaharibia biashara.