talnam
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 1,410
- 2,804
Wacha kuita madude taaluma za watu, Ovyo.Hayo madude hayana Training ya mwaka mmoja!
Wacha kuita madude taaluma za watu, Ovyo.Hayo madude hayana Training ya mwaka mmoja!
HhhhhhhhAcha utani mkuu, interview imefanyika kimya kimya sio?
Kama si chemical engineer ,utakuwa mineral processing engineer.Ewura tangu watoe tangazo lao la kazi mwaka jana(2016) October na deadline kuapply ilikua tarehe 15 Nov,,mpaka leo hawajaita watu kwenye interview,Tatizo ni nini??
Vumilia kidogoKama si chemical engineer ,utakuwa mineral processing engineer.
Jiandae mkuu wakati wowote wata shortlist
Wale wa tra tayari ni waajiriwa coz wanalipwa mishahara kbsa wala sio posho wanamaliza mwzi wa tano take home ni mia tisa after taxWapo chuo cha kodi labda wawe wameanza kaz mwezi uliopita Mara ya mwisho nliongea na rafk yangu akasema ndo wanaingia semister ya pili eti nkasema duh