Hahahhaha inawezekana wakaitana kimya kimya maana wabongo hawatabiriki
Hiyo ya TRA kuna watu nlisoma nao walipata ila hadi Leo hawajapangiwa vituo wapo chuo cha kodi wanasoma na mwisho watafanya pepar eti japo ndo hivyo wanalipwa posho posho na chakula kipo pale pale chuo cha mwenge kweli ajira za TRA kupata ni ishu na unaambiwa kama huna upper second hupati labda uwe na post au mastersKama post za TRA walizofanya mwezi wa sita usaili nasikia wameitana kimya kimya kazini,yaani hii nchi.
Hiyo ya TRA kuna watu nlisoma nao walipata ila hadi Leo hawajapangiwa vituo wapo chuo cha kodi wanasoma na mwisho watafanya pepar eti japo ndo hivyo wanalipwa posho posho na chakula kipo pale pale chuo cha mwenge kweli ajira za TRA kupata ni ishu na unaambiwa kama huna upper second hupati labda uwe na post au masters
mkuu uliomba nafasi gani kwani? gas or petroleumNauliza tu, kwa wale waliomba nafasi za kazi Ewura, hivi watu washaitwa kweny interview?
Mi nlikuwa nasema zile zilitangazwaga nyingi za ma tax officerHao jamaa zako walifanya usaili wa post zipi????Nakumbuka mwezi wa sita walifanya office attendant na records management.
Mi nlikuwa nasema zile zilitangazwaga nyingi za ma tax officer
Wapo chuo cha kodi labda wawe wameanza kaz mwezi uliopita Mara ya mwisho nliongea na rafk yangu akasema ndo wanaingia semister ya pili eti nkasema duhDuhhh,kweli msala,zile post za customs hadi leo hawajapewa maisha.
Petroleum mkuumkuu uliomba nafasi gani kwani? gas or petroleum
ok poa, anza kukata nyanga/shule mana nafasi hiyo graduates wengi wameomba mana ilikuwa zero experiencePetroleum mkuu
Wapo chuo cha kodi labda wawe wameanza kaz mwezi uliopita Mara ya mwisho nliongea na rafk yangu akasema ndo wanaingia semister ya pili eti nkasema duh
Mkuu ni miezi 12 ya mafunzo halafu mnapiga pepa kama kawaida ukifeli kwenu wanasoma balaaDuhhh,kweli msala,zile post za customs hadi leo hawajapewa maisha.
Za TRA lazima uchukue postgraduate ambayo inakua ni mafunzo ya masomo yao ya taxation na ukichaguliwa haulipi hata mia ila unakua unapewa posho tu ya kujikimu na hostel pia.Hiyo ya TRA kuna watu nlisoma nao walipata ila hadi Leo hawajapangiwa vituo wapo chuo cha kodi wanasoma na mwisho watafanya pepar eti japo ndo hivyo wanalipwa posho posho na chakula kipo pale pale chuo cha mwenge kweli ajira za TRA kupata ni ishu na unaambiwa kama huna upper second hupati labda uwe na post au masters
Training mwaka mmojaSasa wanafanya training ya kazi au wanafanya kozi zao zile za taxation management.
Mkuu ni miezi 12 ya mafunzo halafu mnapiga pepa kama kawaida ukifeli kwenu wanasoma balaa
Training mwaka mmoja
Hayo madude hayana Training ya mwaka mmoja!sasa kaka naomba uniulizie kwa jamaa yako kama wale watu wa RECORDS MANAGEMENT NA OFFICE ATTENDANT WAPO PAMOJA NAO AU WAMESHAFANYA TRAINING???AKIKUPA JIBU NAOMBA UNIPE MREJESHO KAKA.
tupo tunapiga kazi mkuuNauliza tu, kwa wale waliomba nafasi za kazi Ewura, hivi watu washaitwa kweny interview?
Acha utani mkuu, interview imefanyika kimya kimya sio?tupo tunapiga kazi mkuu