😂😂😂ukishafanya hayo mkeo ataanza kukushika tako, alafu uje kusema nimeshikwa tako na mke nifanyeje ?
Naona we chalii unanichukia sababu ya iyo mimba uliyobeba,ila ukizaa hutanichukia tena,kuna manzi apa chuoni mimba yake ilikua hainipendi kabisa ila alipojifungua tu amekua na Rafiki angu,Nawewe ukijifungua hutonichukia Ariff.Mwandiko una harufu ya bleed, Maliza siku zako kwanza
[emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28]Usi'practice malezi yako mabaya kwenye uzi wangu mamiloo.
Siamini kama hii comment ni wewe umeiandika!!Komaa utakua mke mwema
Naona we chalii unanichukia sababu ya iyo mimba uliyobeba,ila ukizaa hutanichukia tena,kuna manzi apa chuoni mimba yake ilikua hainipendi kabisa ila alipojifungua tu amekua na Rafiki angu,Nawewe ukijifungua hutonichukia Ariff.
Sometimes elimu inatolewa kwa njia ngumu, by the way tunafahamiana?Siamini kama hii comment ni wewe umeiandika!!
Huyu njereee atakuwa ni mwanaume wa dar ndo wanatabia za kibushoke Kama hzoSisi watu A town hatuna tabia hiyo sijui wewe utakuwa ni makapi ya wapi
[emoji1787]Komaa utakua mke mwema
[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23]ukishafanya hayo mkeo ataanza kukushika tako, alafu uje kusema nimeshikwa tako na mke nifanyeje ?
Nimeamini Paka akijitizama kwenye kioo hujiona Simba mdogo akikua atakua kama simba wa porini.haya Subiri ukuwe kwanzaWasalaam wadau hapa Jamvini
Mwanaume ulieoa hebu fanya kumsaidia mkeo kazi za nyumbani kama kudeki,kufua,Kupika,Kuchota maji nk.
Muache alale na akiamka mpe hela aende Saloon.
Ni hayo tu wazeiya,mimi mwenyewe ningekua nimeoa ningefanya ivo.
@NgarenaroBoy