Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 23,877
- 31,652
Poleni sana vijana.Kweli mkuu,kwa wenye mkopo wachukue tahadhari na wasio nao nina imani watapata mlango wa kutokea.
Ila msituangushe 2020 sasa.
Poleni sana vijana.Kweli mkuu,kwa wenye mkopo wachukue tahadhari na wasio nao nina imani watapata mlango wa kutokea.
Kubet hata kidogo ulichonacho kinaweza potea.Kazi iliyo baki mtahani ni moja tu .kubet kwahiyo waambie wajipange maana uku kanji ana masiala kabisa ata mia tano anachukua ukiingia kwenye mabanda ya kupetia usishangae unakutana na dada yako pamoja na mjomba