Ewe mwanachuo/funzi tenegeneza pesa kupitia miradi 15+

Ewe mwanachuo/funzi tenegeneza pesa kupitia miradi 15+

ANKOJEI

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2010
Posts
995
Reaction score
749
Tumeshajifunza mengi sana kwa wale waliojiunga tangu wiki iliyopita kama namna ya kujitambua, kwa nini watu wanashindwa kuanzisha miradi mbalimbali, na wakianza wanaogopa kushindwa na hatimaye kushindwa kufikia mafanikio. Nini tofauti ya elimu, ujuzi na uzoefu? Nini tofauti ya mfanyabiashara na mjasiriamali? Na hatimaye tukafanya uchambuzi wa safari iliyojaa mapendo ya kipato safari ya mfanayakazi wa kawaida aliye na digrii.

Ikiwa wewe ni mgeni na ungependa kujua yatakayojiri na yaliyojiri basi huna budi kutuma neno 'STUDENT WITH A MISSION kWENDA +255 752 963 962

Ndgu zangu wanafunzi katika MIRADI 15+ angalia linki hapo chini utakuta ni miradi ya kawaida sana unayoiona kila siku na utasema hakuna jipya katika miradi hii, LAKINI mi nakwambia kipo cha tofauti njoo jiunge nasi nawe utajua utofauti.

Miradi hii inazingatia sifa zifuatazo ili kukidhi vigezo ya kuwa miradi bora kwa wanafunzi na wanachuo.
1. Miradi utaayotumia muda kidogo katika kuisimamia
2. Miradi yenye kukua kwa haraka sana, yaani ukuaji wa mradi una uhusiano mkubwa na uchapaji kazi wako
3. Miradi hii inahitaji mtaji wa sifuri au mtaji kidogo sana
4. Miradi hii unazalisha pesa yaani haikulazimishi wewe kukopesha
5. Miradi hii huhitaji kuwa mzoefu

Mfano mzuri tu kesho tutaanza na kujifunza kuunda simple blogs, saa3 kamili usiku. Ukiwa ww kama mpenzi wa ujasitiamali usikose kujiunga nasi kwa kutuma neno STUDENT WITH A MISSION kwenda +255 752 693 692

Utaunganishwa katika group ya whatsapp yenye wanafunzi na wanachuo kuanzia certificates had Falsafa kutoka vyuo mbalimbali Tanzania, utakuwa unapokea email ya masomo yote yaliyojadiliwa katika whatsapp. Kwa faida yako msomaji wangu unaweza kupata nakala ya yaliyopita hapa STUDENTS WITH A MISSION: October 2015

Na hii ni ile orodha ya miradi 15 ambayo inazingatia sifa zilizotajwa hapo juu

https://www.jamiiforums.com/ujasiri...ajili-ya-wanachuo-boom-ni-mtaji-au-mzigo.html

USISAHAU KUTUMA NENO STUDENT WITH A MISSION KWENDA +255 752 693 692
 
Tumeshajifunza mengi sana kwa wale waliojiunga tangu wiki iliyopita kama namna ya kujitambua, kwa nini watu wanashindwa kuanzisha miradi mbalimbali, na wakianza wanaogopa kushindwa na hatimaye kushindwa kufikia mafanikio. Nini tofauti ya elimu, ujuzi na uzoefu? Nini tofauti ya mfanyabiashara na mjasiriamali? Na hatimaye tukafanya uchambuzi wa safari iliyojaa mapendo ya kipato safari ya mfanayakazi wa kawaida aliye na digrii.

Ikiwa wewe ni mgeni na ungependa kujua yatakayojiri na yaliyojiri basi huna budi kutuma neno 'STUDENT WITH A MISSION kWENDA +255 752 963 962

Ndgu zangu wanafunzi katika MIRADI 15+ angalia linki hapo chini utakuta ni miradi ya kawaida sana unayoiona kila siku na utasema hakuna jipya katika miradi hii, LAKINI mi nakwambia kipo cha tofauti njoo jiunge nasi nawe utajua utofauti.

Miradi hii inazingatia sifa zifuatazo ili kukidhi vigezo ya kuwa miradi bora kwa wanafunzi na wanachuo.
1. Miradi utaayotumia muda kidogo katika kuisimamia
2. Miradi yenye kukua kwa haraka sana, yaani ukuaji wa mradi una uhusiano mkubwa na uchapaji kazi wako
3. Miradi hii inahitaji mtaji wa sifuri au mtaji kidogo sana
4. Miradi hii unazalisha pesa yaani haikulazimishi wewe kukopesha
5. Miradi hii huhitaji kuwa mzoefu

Mfano mzuri tu kesho tutaanza na kujifunza kuunda simple blogs, saa3 kamili usiku. Ukiwa ww kama mpenzi wa ujasitiamali usikose kujiunga nasi kwa kutuma neno STUDENT WITH A MISSION kwenda +255 752 693 692

Utaunganishwa katika group ya whatsapp yenye wanafunzi na wanachuo kuanzia certificates had Falsafa kutoka vyuo mbalimbali Tanzania, utakuwa unapokea email ya masomo yote yaliyojadiliwa katika whatsapp. Kwa faida yako msomaji wangu unaweza kupata nakala ya yaliyopita hapa STUDENTS WITH A MISSION: October 2015

Na hii ni ile orodha ya miradi 15 ambayo inazingatia sifa zilizotajwa hapo juu

https://www.jamiiforums.com/ujasiri...ajili-ya-wanachuo-boom-ni-mtaji-au-mzigo.html

USISAHAU KUTUMA NENO STUDENT WITH A MISSION KWENDA +255 752 693 692
pamoja ndugu tupe maujuz zaid tujikwamue na huu umaskini
 
Mnafanya bure??
Kama mnafanyia pesa there are two things involved... Either mnataka kupiga dili or mnampango wa kusaidia watu kwel.
 
Elimu ni Bure, blogs ni simple blogs na Elimu ya Kijasiriamali ni bure Kabisa Kupitia Whatsapp
 
Mnafanya bure??
Kama mnafanyia pesa there are two things involved... Either mnataka kupiga dili or mnampango wa kusaidia watu kwel.

kama wana wanampango Wa kusaidia watu their safe but kama wanataka kupiga dili there is two things involved
 
Du watanzania ebu tuweni makini, achana na uwoga, wewe ni msomi jiamini. Utafanikiwa
 
Duuu si mngesema watu watupie namba zao hapo muwaunge kwani mpaka watume ilo neno??????
 
Back
Top Bottom