Ewe mwalimu wa sayansi angalia jina lako hapa

zimwilachi

Member
Oct 22, 2016
40
23
Haya kumekucha sasa walimu wa Sayansi na Hesabati!
 

Attachments

  • orodha_ya_wahitimu_wa_shahada_ya_ualimu_kabla_ya_2015 nne.pdf
    71 KB · Views: 72
  • orodha_ya_wahitimu_wa_shahada_ya_ualimu_wenye_sifa_2015 mbili.pdf
    479.2 KB · Views: 114
  • orodha_ya_wahitimu_wa_shahada_ya_ualimu_wenye_sifa_2015 moja.pdf
    479.2 KB · Views: 227
  • orodha_ya_wahitimu_wa_stashahada_ya_ualimu_kabla_ya_2015 tano.pdf
    56.7 KB · Views: 48
  • orodha_ya_wahitimu_wa_stashahada_ya_ualimu_wenye_sifa_mwaka_2015 tatu.pdf
    466.6 KB · Views: 170
Wajinga ndio waliwao, tatizo watanzania wengi kufikiri ni zero kabisa.
Hivi idadi ya vijana wenye sifa waliotuma maombi haijatimia 4000 ambayo ndiyo idadi waliyoisema mara nyingi?, na kama walitimia kipi kilichowazuia kuajiri hao waliotuma?.
Akili za kuambiwa changanya na zako.
Hapo wanasogeza mambo mbele, na mwisho mtaambiwa wait for the budget to come.
 
Wajinga ndio waliwao, tatizo watanzania wengi kufikiri ni zero kabisa.
Hivi idadi ya vijana wenye sifa waliotuma maombi haijatimia 4000 ambayo ndiyo idadi waliyoisema mara nyingi?, na kama walitimia kipi kilichowazuia kuajiri hao waliotuma?.
Akili za kuambiwa changanya na zako.
Hapo wanasogeza mambo mbele, na mwisho mtaambiwa wait for the budget to come.
True dat ukipiga mahesabu ya majina yamefika 1462+1460+172+169=3300 ivyo upungufu 700 serikali wanatudanganya ila uongo auishi milele
 
True dat ukipiga mahesabu ya majina yamefika 1462+1460+172+169=3300 ivyo upungufu 700 serikali wanatudanganya ila uongo auishi milele
M
True dat ukipiga mahesabu ya majina yamefika 1462+1460+172+169=3300 ivyo upungufu 700 serikali wanatudanganya ila uongo auishi milele
Tena yawezekana wametoa majina machache ili tu ionyeshe waliotuma bado hawajatimiza idadi pendwa wapate kuwazuga kiurahisi.
We unaweza amini vipi kuwa vyuo vikuu na vya kati vilivyojazana Tanzania vishindwe kufeed idadi ya wasaka ajira serikalini angau elfu 4 huku tunawajua vijana wengi tu hawako tayari kuajiriwa na private inst. wakati serikalini kuna nafasi.
 
Mtoto akiw analia unamdanganya kwa pipi ili atulie kdg kisha unamwambia subir nitakuletea gar bas maisha yanaendelea kusonga.
 
Back
Top Bottom