Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 13,142
- 27,102
Mkuu uko sawa, mwanamke mtafutaji hawezi kuhangaika na hayo maujinga..angalia watu ambao wamefanikiwa huwezi kuwakuta wamejaza machupa ya rangi ndani!!Si kweli. Wenye hela na wanaojua kuzitafuta hawafanyagi ujinga huo. Wanaohangaika na uzuri bandia ni wale wenye vipato vya chini kabisa. Kwahiyo wala msisingizie kwamba wenye hela wao hufanya