Hii dressing table ndiyo chanzo cha migogoro ndani ya ndoa. Kwanini?
1. Huyu mwanamke alikudanganya kimuonekano siku ya kwanza ulipomuona. Ulidhani ana ngozi laini ama rangi fulani kumbe ni dressing table. Ukija kuifahamu ngozi na rangi yake kamili kuwa iko viwango vya chini ya vile ulivyojiwekea moyoni, tayari kipande cha upendo humegeka. Mgogoro unaibuka.
2. Hii dressing table ni meza ya kutafuna hela, sawa kabisa ama kuzidi gharama ya kusomesha mtoto English medium schools. Kila iitwapo leo hela inapukutishwa na meza hii? Siku ukiwa huna fedha za kuijaza meza hii itakuwaje? Mgogoro unaibuka. Ukisikia wanawake humu wakisema kuna wanaume wana mikono ya birika, wanailenga pia meza hii.
3. Meza hii malengo yake ni maovu. Huyu mtu umekwisha muoa tayari, sasa sababu za kumiliki vichupa vya rangi tofauti kama fine-artist ni zipi? Mabachelor wanafanya hivi ili wavutie, kisha wanase. Huyu wa kwako naye?
Basi ukiona hivi, huyu mkeo ana ushetani wa kuendelea kupendwa na wengine. Ànataka kunasa mtu mwingine. Ndiyo ndiyo motive behind ya kuwa na machupa mengi kama bwana mifugo. Maana kama ni mapele ama mabaka usoni wewe mumewe umeyaona.
Hebu ewe mwanaume, jiulize: mkeo matiti yamelala, halafu yeye anahangaika kupaka mchina au kutumia sindiria zenye vifuu vya nazi ama kigodoro ili yaonekane yamesimama. Aonwe na nani ili iwe nini?
Mkeo hana makalio na umempenda jinsi alivyo lakini anahangaika kupaka mchina au kuvaa skini tight zilizoshonewa hips za vigodoro ili akivaa aonekane ana hips. Aonwe na nani ili iwe nini? Mkeo hajaridhika na wewe ama amekuchoka au ana hulka ya ukahaba.
Wahenga walisema mwanamke mwenye kujilemba hupenda na kulambwa pia
Amka mwanaume, hakikisha mkeo ana nawa uso kama wewe, una share naye mafuta yako ya mgando na ile losheni yako uliyonunua ukiwa bar. Cha nyongeza kwake iwe kitana kikubwa cha kulazia nywele tu.
ONYO: Ushauri huu unafanya kazi kwa walio kwenye ndoa tu.
1. Huyu mwanamke alikudanganya kimuonekano siku ya kwanza ulipomuona. Ulidhani ana ngozi laini ama rangi fulani kumbe ni dressing table. Ukija kuifahamu ngozi na rangi yake kamili kuwa iko viwango vya chini ya vile ulivyojiwekea moyoni, tayari kipande cha upendo humegeka. Mgogoro unaibuka.
2. Hii dressing table ni meza ya kutafuna hela, sawa kabisa ama kuzidi gharama ya kusomesha mtoto English medium schools. Kila iitwapo leo hela inapukutishwa na meza hii? Siku ukiwa huna fedha za kuijaza meza hii itakuwaje? Mgogoro unaibuka. Ukisikia wanawake humu wakisema kuna wanaume wana mikono ya birika, wanailenga pia meza hii.
3. Meza hii malengo yake ni maovu. Huyu mtu umekwisha muoa tayari, sasa sababu za kumiliki vichupa vya rangi tofauti kama fine-artist ni zipi? Mabachelor wanafanya hivi ili wavutie, kisha wanase. Huyu wa kwako naye?
Basi ukiona hivi, huyu mkeo ana ushetani wa kuendelea kupendwa na wengine. Ànataka kunasa mtu mwingine. Ndiyo ndiyo motive behind ya kuwa na machupa mengi kama bwana mifugo. Maana kama ni mapele ama mabaka usoni wewe mumewe umeyaona.
Hebu ewe mwanaume, jiulize: mkeo matiti yamelala, halafu yeye anahangaika kupaka mchina au kutumia sindiria zenye vifuu vya nazi ama kigodoro ili yaonekane yamesimama. Aonwe na nani ili iwe nini?
Mkeo hana makalio na umempenda jinsi alivyo lakini anahangaika kupaka mchina au kuvaa skini tight zilizoshonewa hips za vigodoro ili akivaa aonekane ana hips. Aonwe na nani ili iwe nini? Mkeo hajaridhika na wewe ama amekuchoka au ana hulka ya ukahaba.
Wahenga walisema mwanamke mwenye kujilemba hupenda na kulambwa pia
Amka mwanaume, hakikisha mkeo ana nawa uso kama wewe, una share naye mafuta yako ya mgando na ile losheni yako uliyonunua ukiwa bar. Cha nyongeza kwake iwe kitana kikubwa cha kulazia nywele tu.
ONYO: Ushauri huu unafanya kazi kwa walio kwenye ndoa tu.