Chukua HISENSE TVHabari ndugu wana JF!!
Mwenye uzoefu wa Tv zinaitwa Evolli anipe mawazo. Zipo vizuri au za kipuuzi
Hiv kuna tv inaitwa evolli?mimi ninachojua kuna pipi zinaitwa evolliHabari ndugu wana JF!!
Mwenye uzoefu wa Tv zinaitwa Evolli anipe mawazo. Zipo vizuri au za kipuuzi
Mie natumia series 5 n flameless yenye box kaki iko vizuri sanaHisense model gani ipo poa!?
Jina tu, evolli, limekaa kipuuzi puuziHabari ndugu wana JF!!
Mwenye uzoefu wa Tv zinaitwa Evolli anipe mawazo. Zipo vizuri au za kipuuzi
Na mimi najua pipi inaitwa Ivory..hiyo Evolli sijawahi kuiskia.Hiv kuna tv inaitwa evolli?mimi ninachojua kuna pipi zinaitwa evolli
watakua wanaandika tu zinatoka italy. hamna kitu hapoEvorry kutoka Italy
Hii ni ya kwako sio ya mleta madaEvorry kutoka Italy
anayeingiza tv za star x bongo ndio huyo anaiingiza evolli, ni yale yake mambo ya tecno na infinixwatakua wanaandika tu zinatoka italy. hamna kitu hapo
Nunua zipo vizuri nimeitumia tokea 2019. yani ipo vizuri kwenye sauti na picha.Habari ndugu wana JF!!
Mwenye uzoefu wa Tv zinaitwa Evolli anipe mawazo. Zipo vizuri au za kipuuzi