Everyone needs a partner in crime be mine

Everyone needs a partner in crime be mine

coockie monster

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2015
Posts
390
Reaction score
757
Mi sijambo,

Life is very tough and is very tough when you're lonely i said its enough. Nahitaji rafiki wa kike ambaye tukiendana tunaweza kua wapenzi, awe mzuri na awe mchakarikaji katika maisha kama mimi.

Mimi ni 24 years old guy struggling my way back after soo many shits of life i call the challenge now nasoma chuo and ni mjasiriamali nahitaji mtu ambaye kidogo kanizidi umri sababu atakua smart and muelewa kuliko hawa ambao wamenizunguka and yes i look good and im good
.
 
kitaa huku wako wengi..vipi unawataka?
 
Watu mnajifanya kama vile mpo mnajua maisha na kila kitu kazi kujiona mpo perfect..hapa mnaocomment nyie mnaobeza mnaweza mkawa soo desparate and lonely kuliko mie..poor people
 
Mkuu kweli maisha ya alone ni so boring mbaya zaidi ukiwa nchi za watu lakini kwa mujibu wa uzi wako wewe bado hujajua unataka nini. Siku hizi wadada wameelimika sana kuhusu masuala ya mahusiano hivyo just b open and straight forward kama unataka wa kula nae bata tu au mchumba. Nasema hivi coz kama unalengo la kumuoa huyo mtu hapo baadae then age matters a lot in relation asikudanganye mtu.
 
Vipi una nyumba ya kisasa?gari ya kifahari? una miliki biashara zipi kimataifa???
vipi kuhusu urefu wa pochi yako???????????????????????????????????????????????
Nadhani ungeweka hii CV ingesaidia sana kwa ninavyowafahamu wadada wengi wa humu
 
Acha haya mambo dogo. Piga kitabu . Umri wako ni kitabu kwanza. Mahusiano ya me/ke bado. Weka kumbukumbu ya maneno yangu, after 8years nitafute . Siku hiyo tutaongea majuto na wala si mahusiano ya me/ke.
 
Mkuu kweli maisha ya alone ni so boring mbaya zaidi ukiwa nchi za watu lakini kwa mujibu wa uzi wako wewe bado hujajua unataka nini. Siku hizi wadada wameelimika sana kuhusu masuala ya mahusiano hivyo just b open and straight forward kama unataka wa kula nae bata tu au mchumba. Nasema hivi coz kama unalengo la kumuoa huyo mtu hapo baadae then age matters a lot in relation asikudanganye mtu.
sina lengo la kuoa
 
Acha haya mambo dogo. Piga kitabu . Umri wako ni kitabu kwanza. Mahusiano ya me/ke bado. Weka kumbukumbu ya maneno yangu, after 8years nitafute . Siku hiyo tutaongea majuto na wala si mahusiano ya me/ke.
nani kakuambia natafuta mke??alafu usikichulie kitabu kua ndo kilakitu japo muhimu sana..yaani nisiwe katika mapenzi sababu ya kitabu?men japo nna umri mdogo lakini nimesurvive vingi
 
Vipi una nyumba ya kisasa?gari ya kifahari? una miliki biashara zipi kimataifa???
vipi kuhusu urefu wa pochi yako???????????????????????????????????????????????
Nadhani ungeweka hii CV ingesaidia sana kwa ninavyowafahamu wadada wengi wa humu
acha uoga wewe
 
Mkuu kweli maisha ya alone ni so boring mbaya zaidi ukiwa nchi za watu lakini kwa mujibu wa uzi wako wewe bado hujajua unataka nini. Siku hizi wadada wameelimika sana kuhusu masuala ya mahusiano hivyo just b open and straight forward kama unataka wa kula nae bata tu au mchumba. Nasema hivi coz kama unalengo la kumuoa huyo mtu hapo baadae then age matters a lot in relation asikudanganye mtu.
mkuu nimesema hivo sababu sasa iv nahitaji serius relation sababu kwa mda mrefu nimetulia sio kwakua nimekosa mwanamke ila nimekua nahitaji atleast serius thing sababu huko nyuma nilikua naonja onja tu..alafu hawa wadogo drama nyingi alafu i hate drama..
 
Life takes you on the direction you take it
This is relationship obsession
Nothing more
 
Unakimbia changamoto lol mim navyojua ukiwa unapata mattzo basi akili yako inatakiwa kufanya kazi marambili ni sawa na Intergral kama umesoma Pure Math lazima ufikiririe mbali ndo utapata swal....Siko kwa ajili ya Kucritisize hapan ila kuwa na Msichana aliyekuzidi umri kuna matitzo yake na kama ujuavyo no one is perfect Boss ila kama unahitaji Serious relation lazima upitie Drama kwanza ndo utajua kuhandle hiyo serious relation..... kuna Msemo unasema imeandikwa Si Lazima kila Relation imeandikwa Ifike Ndo zingine unapita tu kama twitty ili kubaliana na Necta
 
Back
Top Bottom