Everyone deserves a brother like Augustino Polepole

Everyone deserves a brother like Augustino Polepole

mwehu ndama

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2019
Posts
1,413
Reaction score
5,150
Jamaa ni Mfano halisi wa ndugu wa damu .Ukiwa na kaka au dada kama huyu unapaswa kutembea kifua mbele, hakika una malaika wako duniani..Sisi wengine tulishawahi kuingia kwenye misala mizito afu mabraza wakachimba kama filbert bayi.
 
Orodha ya wanaotakiwa kuliwa vichwa please.
Naomba aanze haraka sana kula vichwa,watanzania wanasibiri kwa hamu jamani
 
Back
Top Bottom