Everybody can have a soulmate

Everybody can have a soulmate

Hapo unasaka mchepuko!..

Ha Haaaa! sasa we huoni kwa majibu yake ni kuwa michepuko lazima iwepo? imagine umeoa/umeolewa na mtu ambaye si soulmate afu unampata itakuwaje??? Just kidding!
 
Popote ulipo nakupenda sana na najua unanipenda sana,huwa nakuwaza sana na napenda tuwe pamoja siku zote....
 
jaribu kila siku kukaa mwenyewe sehemu tulivu ,ongea kwa kumaanisha na kuamini mf.popote ulipo nakupenda sana na najua unanipenda sana,huwa nakuwaza sana na napenda tuwe pamoja siku zote,feel what you are saying and trust me outthere kuna another soul ipo inasikia and one day utakutana nayo
muwe makini kwa nijuavyo mimi kimfanyacho binadamu awe hivi alivyo sasa ni roho either "evil" or HOLY... na hakuna wakati wowote binadamu aka'remain as vacum lazima awe occupied na moja kati ya roho hizo ...
wasiwasi wangu unakuja wakati ukianza kumeditate na kukaribisha roho ya kuongea nayo waweza karibisha roho chafu mfano jini mahaba na mengineyo ikakuletea balaa maishani...
nawasilisha kwa nia njema ...
 
muwe makini kwa nijuavyo mimi kimfanyacho binadamu awe hivi alivyo sasa ni roho either "evil" or HOLY... na hakuna wakati wowote binadamu aka'remain as vacum lazima awe occupied na moja kati ya roho hizo ...
wasiwasi wangu unakuja wakati ukianza kumeditate na kukaribisha roho ya kuongea nayo waweza karibisha roho chafu mfano jini mahaba na mengineyo ikakuletea balaa maishani...
nawasilisha kwa nia njema ...

its not meditating its a signal transfer to your fellow soul outthere you trully love
 
Ikitokea ukaanza hilo zoezi la kuvuta hisia seriously, je inachukua muda gani kuona matokeo? isijekuwa muda mrefu hadi ukakata tamaa.

any period kama unampenda utamtafuta tu na huto jutia
 
vip kwa wale ambao hadisasa wana visicha/vivulana tayali, this method can b appld by them?
 
Jaribu kila siku kukaa mwenyewe sehemu tulivu ,ongea kwa kumaanisha na kuamini.

Mfano popote ulipo nakupenda sana na najua unanipenda sana, huwa nakuwaza sana na napenda tuwe pamoja siku zote, feel what you are saying and trust me out there kuna another soul ipo inasikia and one day utakutana nayo.

Sasa kama mapenzi ni natural phenomenon kwa nini kunakuwa na mafunzo mengi on how to do it?!!! mbona mtoto hafundishwi kunyonya?!!!
 
Back
Top Bottom