Every dad's worst nightmare!

Yaani mwanaume ukiwa umefunua funua vibinti vya wenzio ujue na wako anafumuliwa au atafumuliwa. Malipo ni hapa hapa.
 
Man oh man you will never lock you daughter inside, let her wonder outside, one day she will have her own fantasies though it depends "what kind"??. The only thing you should always do is to always pray for your daughter so that one day she won't end up in wrong hands. Mtoto wa kike hachungwi
 
Hivi ni nani angependa binti yake awe na tabia kama yake? Yaani afanye kila kitu alichofanya, aharibu kama alivyoharibu halafu aje kujifunza kutokana na makosa kama alivyojifunza yeye, (kama kweli alijifunza).
 
Kwani akiwa chuoni na kupata ujauzito ni dhambi?

Nani aliye dunia hii ambapo mama yake hakupata ujauzito?

Na mtu kupata ujauzito haimaanishi ndo hana maadili mema.

Hivi unajua hata maana ya maadili mema wewe?
Kutwa humu ndani masingle mother wanasemwa, ingekua sawa wasingeandamwa..
Maadili mema ni kuzaa ndani ya ndoa japo maisha hayako perfect ndo maana uzazi unatokea muda wowote
Perhaps sijui maana ya maadili mema,nielimishe...
 
Acha apigwe pumbu mwanzo mwisho, hamna namna tena
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…