Eventually nimeikuta tecno gsmarena

Eventually nimeikuta tecno gsmarena

Ni hatua nzuri kwa Tecno kwani simu zao zitazidi kufahamika kote ulimwenguni. Naomba niseme, simu kuwa reviewed na GSMARENA.COM haimanishi kuwa simu hiyo ni simu bora au ni brand bora kuliko zingine, gsmarena.com wanareview simu popular kulingana na wanavyozipata ko kwa miaka kadhaa nyuma huenda walikuwa hawazijui hizi Tecno. Sasa wanazipata ndo maana wameanza kureview.
Kuhusu Camon 11 au Phantom 8 ni simu za kawaida sana (kwa maoni yangu) Camon 11 haiifikii Camon CX ya Manchester City Edition kwa ubora ingawa ni ya zamani.

Sent from my BBB100-2 using Tapatalk
 
Mkuu Kingsmann halafu wewe ni tecno user wewe!

Siku ikianza kujiwasha torch mchana wa saa sita jua kali uje tena hapa kuomba msaada wa ushauri.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Kweli mm tecno user mzur san, lkn natumia zile flagships sio akina tecno spark au tecno n2. Hata samsung wana series ambazo ni mbovu km tecno tuu, kila brand ina flagship zake ambazo ndo the best.
 
Daah nimekumbuka zile simu za mwanzo za wachina.

Kuna mwana alikua nayo,ina spika kama 8 hivi ikipigwa aisee kama subwoofer hivi.

Ina antenna akiivuta juu local channels inashika(itv,star tv etc zinashika) tena hii ingetufaa sana kipindi hiki.

Line inazo 3 na internet 2g inashika fresh tu.
 
Daah nimekumbuka zile simu za mwanzo za wachina.

Kuna mwana alikua nayo,ina spika kama 8 hivi ikipigwa aisee kama subwoofer hivi.

Ina antenna akiivuta juu local channels inashika(itv,star tv etc zinashika) tena hii ingetufaa sana kipindi hiki.

Line inazo 3 na internet 2g inashika fresh tu.
Hahahahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah nimekumbuka zile simu za mwanzo za wachina.

Kuna mwana alikua nayo,ina spika kama 8 hivi ikipigwa aisee kama subwoofer hivi.

Ina antenna akiivuta juu local channels inashika(itv,star tv etc zinashika) tena hii ingetufaa sana kipindi hiki.

Line inazo 3 na internet 2g inashika fresh tu.
Kuna jamaa mmoja aliingiaga kanisani akiwa na hiyo simu akasahau kuizima na alipopigiwa simu ikaita kwa ule wimbo wa Dar mpaka Moro dahh! ilikuwa noma.
 
Back
Top Bottom