The weekend
JF-Expert Member
- May 3, 2020
- 423
- 832
Eve alimtema nguema mbassongo baada ya kuhusishwa na matumizi mabaya ya fedha za umma ikiwemo kutumia pesa za umma kununulia majumba na magari, boat za kifahari u.s.a, Belgium, franceHuyu dada nilikuwa namkubali saaana yani. Kuna wakati nilisikia alikuwa dem wa mtoto wa rais wa Equatorial Guinnea. Sijui waliishiaga wapi?