kweleakwelea
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 3,066
- 1,535
mwandishi, tafadhali simama na uangalie nnyuma, mbele kushoto pia kulia....
ni kweli na hakuna aliyekataa kuwa kundi hili la watu lipo tanzania....
lakini ishu ni kwamba nchi za dunia ya tatu zina chamgamoto nyingi za kutatua kiuchumi na kijamii na sio hilo la ushogo...
in fact haijawahi kuwa changamoto kama inavyodaiwa...........
hapa kuna mambo mawili Cameroon alikuwa anafanya....
1. kutest zali la mwitikio wa mziki wa ulaya barani afrika hasa baada ya anguko la tawala conservative za kiarabu. hii itafuatiwa na kupelekeshwa pelekeshwa any how na tawala za ulaya...
2. anajua wazi kuwa hana hela za kutupa sie wa dunia ya tatu hivyo anatafuta kijisababu cha kujustify hilo!
3. i am personally worried that he him self is a gay......
but always history has shown that Africa saves the world always. because we aere the kings.....
even Jesus our lord found his salvage in Africa when Pharao wanted to sneak his head out!
we also read that its the black man who helped jesus with his cross
chao!
ni kweli na hakuna aliyekataa kuwa kundi hili la watu lipo tanzania....
lakini ishu ni kwamba nchi za dunia ya tatu zina chamgamoto nyingi za kutatua kiuchumi na kijamii na sio hilo la ushogo...
in fact haijawahi kuwa changamoto kama inavyodaiwa...........
hapa kuna mambo mawili Cameroon alikuwa anafanya....
1. kutest zali la mwitikio wa mziki wa ulaya barani afrika hasa baada ya anguko la tawala conservative za kiarabu. hii itafuatiwa na kupelekeshwa pelekeshwa any how na tawala za ulaya...
2. anajua wazi kuwa hana hela za kutupa sie wa dunia ya tatu hivyo anatafuta kijisababu cha kujustify hilo!
3. i am personally worried that he him self is a gay......
but always history has shown that Africa saves the world always. because we aere the kings.....
even Jesus our lord found his salvage in Africa when Pharao wanted to sneak his head out!
we also read that its the black man who helped jesus with his cross
chao!