Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,722
- 45,129
Bingwa atatoka kundi la kifo FSalama wakuu,
Michuano ya Euro 2020 inategemewa kuanza hapo Juni 11 takribani wiki tatu kutoka sasa.
Michuano hii ilitakiwa ifanyike juni mwaka jana 2020 ila ilihairishwa kutokana na Corona. Hivyo Uefa ikaamua michuano hiyo ifanyike mwaka huu lakini iendelee na jina lilelile la Uefa Euro 2020.
Pia kutokana na Corona, timu zitaruhusiwa kuwa na wachezaji 26 badala ya 23 kama ilivyozoeleka.
Vilevile, michuano hii itaandaliwa katika nchi 11 tofauti na michuano ya kawaida ambapo nchi mwenyeji huwa ni mmoja tu. Wamefanya hivyo katika kuadhimisha miaka 60 ya michuano hiyo mikubwa barani ulaya kwa ngazi za timu za taifa.
Tukirudi kwenye swali letu, Kuelekea michuano ya Uefa Euro 2020, timu gani unaipa kutwaa ubingwa huo? Karibuni...
View attachment 1791049
Japo wapo kundi la kifoNampa nafasi Portugal.
Key players wa Italy walau watatugli Azzurri Italia nawapa nafasi kubwa
Ila kombe hili halina mzuka kabisa..hamna amsha amsha...Salama wakuu,
Michuano ya Euro 2020 inategemewa kuanza hapo Juni 11 takribani wiki tatu kutoka sasa.
Michuano hii ilitakiwa ifanyike juni mwaka jana 2020 ila ilihairishwa kutokana na Corona. Hivyo Uefa ikaamua michuano hiyo ifanyike mwaka huu lakini iendelee na jina lilelile la Uefa Euro 2020.
Pia kutokana na Corona, timu zitaruhusiwa kuwa na wachezaji 26 badala ya 23 kama ilivyozoeleka.
Vilevile, michuano hii itaandaliwa katika nchi 11 tofauti na michuano ya kawaida ambapo nchi mwenyeji huwa ni mmoja tu. Wamefanya hivyo katika kuadhimisha miaka 60 ya michuano hiyo mikubwa barani ulaya kwa ngazi za timu za taifa.
Tukirudi kwenye swali letu, Kuelekea michuano ya Uefa Euro 2020, timu gani unaipa kutwaa ubingwa huo? Karibuni...
View attachment 1791049
Ufaransa mwaka 1998 alitwaa ndoo ya dunia miaka miwili baadae akatwaa ndoo ya Euro 2000 ambapo inasemekana ndio michuano bora kabisa mpaka leo.Kama kawaida hapo France baba lao anakila sababu ya kutwaa ndoo.
Hawa jamaa huwa ni dark horses. Muda ambao watu hudhani hawana kitu huja na sapraizi...gli Azzurri Italia nawapa nafasi kubwa
Kwanini halina mzuka? Ligi bado hazijaisha kwasasa ni hatua ya kutaja vikosiIla kombe hili halina mzuka kabisa..hamna amsha amsha...
On paper, portugal wana kikosi.
Sio kama kipindi kingine, yaani ile publicity naona haijakolezwa...Kwanini halina mzuka? Ligi bado hazijaisha kwasasa ni hatua ya kutaja vikosi
Nakuunga mkono, japo Belgium tatizo kubwa itakuwa ni ukuta wao! Wazee watu wazima wengi wao 30+Nawaona
France
England
Belgium
Italy
Insigne , Immobile na Chiesa bila shakaKey players wa Italy walau watatu