Ukitaka kuwaweza Spain ni kuwavuruga style yao ya kutegemea viungo wanne kuchezesha timu,i.e Xavi, Iniesta, Xabi Alonso na Busquets kama walivyofanya Portugal jana.....Kwa Italy kazi ya kuwavuruga viungo wa Spain itafanywa na Daniele De Rossi na Ricardo Montolivo huku Claudio Marchisio na Midfield Maestro Andrea Pirlo wakidefend na kutengeneza mashambulizi kuwalisha mipira wauaji Antonio Cassano na Super Mario Barwuah Balotelli.....