Euro 2012: The Official EURO 2012 Thread

Hili kundi kweli ni la mauti. Ningependa Holland waingie, lakini Ujerumani....mfupa mgumu.

Holland akishinda,wote wanapita.

Sema kama ulivyosema Germany ni mfupa mgumu.

Mie niko mbali na nyumbani leo inabidi kipindi cha kwanza niangalie kwenye simu.
 
This is the among of BIG games good to watch
 
Holland akishinda,wote wanapita.

Sema kama ulivyosema Germany ni mfupa mgumu.

Mie niko mbali na nyumbani leo inabidi kipindi cha kwanza niangalie kwenye simu.

The good thing is Unaangalia.... How unaangalia then thats up to u.... Dont miss this Bro!!!!
 


TEAMS - Netherlands: Stekelenburg, van der Wiel, Heitinga, Mathijsen, Willems, Van Bommel, De Jong, Robben, Sneijder, Afellay, Van Persie

Germany: Neuer, Boateng, Badstuber, Hummels, Lahm, Schweinsteiger, Khedira, Mueller, Ozil, Podolski, Gomez
 
Jamani wadachi, hebu tufurahisheni leo. Hii wine hapa haishuki vizuri, duh!!

OX upo??
 
Goooool!
Mario Gomez aipata bao Ujerumani.
German 1-0 Holland
 
Kama Holland wata lose hii game nadhani ndo Bye Bye......
 
Dah Germany walikuwa wafunge la pili .... Hawa wadutch wasipoangalia..... hahahah la pili tayari ... WADUTCH safari hiyo
 
yaani useless kabisa Nederland. Bila bidii watatoka! Germany ngome yao si mchezo!

wamenikata stimu wadachi..anyway tusubiri dk.90 zikamilike!



BJ bana....... hahahahahahahahahahaaaaaaaa,,,..... Umemuona GOMEZ????????
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…