Eti?!.............

Dah kwanza huyu mwanaume amwombe msamaha mkewe, hiyo ni kashfa kubwa sana tuu. Kikubwa huyo jamaa atakuwa kapewa penzi na nyumba ndogo ssa limemchanganya na anataka kuhalalisha uzinzi wake kwa mkewe, what a shame!
 
to be frank men wako kama watoto, wapenda waridhishwe wao tu bila kujali kama wake zao turidhika


sasa tukiwaendekeza hivyo na sie wake zao nani aturidhishe?....icwe mazoea bali iwe ya bahati mbaya cku 1-1 ndio haniridhishi, mie huwa mkweli kwake kwamba mzee leo hujacheza game kabisa.....
 
sasa tukiwaendekeza hivyo na sie wake zao nani aturidhishe?....icwe mazoea bali iwe ya bahati mbaya cku 1-1 ndio haniridhishi, mie huwa mkweli kwake kwamba mzee leo hujacheza game kabisa.....
kuna wengine hata ukimwambia my dia huoni mabadiliko, sijui ndo wana vichwa vigumu kuelewa!?
 
Jamani kweli mahusiano ya kimapenzi ni magumu sometimes,

Hii nimeikuta kwenye site moja, mwanamama analalamika kuwa mumewe kamwambia njia yake imekuwa kubwa so she must do something maana hamvutii tena!! na kuwa ameamua kutafuta nyumba ndogo!

Kilichonishangaza kule mie ni kuwa yule mwanamama anadai hajawahi toka nje ya ndoa yake kwa miaka yote mitatu na kuwa wana mtoto mmoja wa miezi minne ambaye alimpata kwa njia ya operation kwa maana hiyo njia haikupata msuko msuko wa kupush.

Sasa najiuliza sipati jibu kama je ni kweli njia imetanuka iwe sababu ya wewe kutafuta nyumba ndogo? katika hali ya kawaida ya mahusiano huyu mume kweli anampenda huyu mkewe? Maana hainiingii akilini kitend alichokifanya

Some Men never cease to amaize me kwa kweli!!

Ni kweli inawezekana huyo mwanaume anatafuta sababu tu ya kutoka nje. Lakini pia inawezekana malalamiko yake yapo genuine kama 'PC muscle' ya huyo mama 'imelegea'. Huyo mama ajaribu kufanyia mazoezi "PC Muscle" yake ili aweze kucontrol diamenter na hata uwezo wa kupata orgasm. Mazoezi ya PC Muscle ni rahisi anaweza kuyafanya wakati wowote na mahala popote (hii inaweza kuponya ndoa yake!).
 
mkuu chrispin kweli jamaa anataka Longalonga kwa shillingi moja na ajishindie zaidi ya milioni ya za tz
 
yawezekana kijogoo chake ndo kidog0 kama kidole siku zote ila mama wa watu (kwa jinsi wanawake tulivyo wavumilivu) akawa anaput up nacho, sasa ndo anashtuka na kusema eti kapanuka, wizi mtupu. hii ni dharau ya kupindukia, inaumaaaaa.
 
naona mnaangalia upande mmoja tu, hivi mnajua karaha ya m Kei mkubwa halafu umelegea, jamani msiombe hata hivyo jamaa anastahili sifa ya kuweza kumvumilia huyo dada, cha msingi ashukuru kukutana na mtu mwenye uvumilivu hivyo wanaume wengine(na hata hao wanaojitia kutetea hapa kuwa furahisha akina nyamayao, na carmel) wangetoka mbio siku ya kwanza tu.
 
naona mnaangalia upande mmoja tu, hivi mnajua karaha ya m kei mkubwa halafu umelegea, jamani msiombe hata hivyo jamaa anastahili sifa ya kuweza kumvumilia huyo dada, cha msingi ashukuru kukutana na mtu mwenye uvumilivu hivyo wanaume wengine(na hata hao wanaojitia kutetea hapa kuwa furahisha akina nyamayao, na carmel) wangetoka mbio siku ya kwanza tu.


tutake radhi
 
naona mnaangalia upande mmoja tu, hivi mnajua karaha ya m Kei mkubwa halafu umelegea, jamani msiombe hata hivyo jamaa anastahili sifa ya kuweza kumvumilia huyo dada, cha msingi ashukuru kukutana na mtu mwenye uvumilivu hivyo wanaume wengine(na hata hao wanaojitia kutetea hapa kuwa furahisha akina nyamayao, na carmel) wangetoka mbio siku ya kwanza tu.


Umepona mpwa?
 
naona mnaangalia upande mmoja tu, hivi mnajua karaha ya m Kei mkubwa halafu umelegea, jamani msiombe hata hivyo jamaa anastahili sifa ya kuweza kumvumilia huyo dada, cha msingi ashukuru kukutana na mtu mwenye uvumilivu hivyo wanaume wengine(na hata hao wanaojitia kutetea hapa kuwa furahisha akina nyamayao, na carmel) wangetoka mbio siku ya kwanza tu.

What can we expect from you anyway? you are not married and you dont plan to, so its typical for you to say this. Those who you think are commenting to make nyamayao and carmel happy are the real men who understand that marriage is sacred, they also were sober and know what they were doing when they took that oath/marriage vows. Since you are just a boy, pls keep cool.
 
What can we expect from you anyway? you are not married and you dont plan to, so its typical for you to say this. Those who you think are commenting to make nyamayao and carmel happy are the real men who understand that marriage is sacred, they also were sober and know what they were doing when they took that oath/marriage vows. Since you are just a boy, pls keep cool.

Shosti ilibidi nimuulize kama amepona kwa vile nilisikia mgonjwa wa maleria na mafua makali labda haijaisha I did not expect this from him. Ametukashfu anamama mzazi kweli huyu.
 
Shosti ilibidi nimuulize kama amepona kwa vile nilisikia mgonjwa wa maleria na mafua makali labda haijaisha I did not expect this from him. Ametukashfu anamama mzazi kweli huyu.
he is just a boy
 
Shosti ilibidi nimuulize kama amepona kwa vile nilisikia mgonjwa wa maleria na mafua makali labda haijaisha I did not expect this from him. Ametukashfu anamama mzazi kweli huyu.

ooh!babylove you are here!?niaje?

miss ya:D
 
he is just a boy

kama hujajua binamu si style yangu kabisa ku attack personalities, ila sishindwi kufanya hivyo. Ninasisitiza muulize mwanaume yeyeto hata ukiweza nenda kwa baba yako muulize angependa k ipi ndogo na mnato au kubwa na bwawa atakupa jibu nililokupa hapo juu. Vipi unakuwa offended inakugusa? mimi nitafurahi nikisikia mwanamke akisema kidude kidogo hakimfurahishi wala siwezi kuwa offended mwana mke akisema hapendi mwanaume mwenye ka kidole.
 
kama hujajua binamu si style yangu kabisa ku attack personalities, ila sishindwi kufanya hivyo. Ninasisitiza muulize mwanaume yeyeto hata ukiweza nenda kwa baba yako muulize angependa k ipi ndogo na mnato au kubwa na bwawa atakupa jibu nililokupa hapo juu. Vipi unakuwa offended inakugusa? mimi nitafurahi nikisikia mwanamke akisema kidude kidogo hakimfurahishi wala siwezi kuwa offended mwana mke akisema hapendi mwanamke mwenye ka kidole.

Inanigusa, first because i am a woman, second because you mentioned my name, third because you started to say peple are commenting to make me happy:mad:, otherwise if you mentioned it without names, i got no problem coz its your opinion, and above all, if you have even a liltle respect for women you would understand what women go through to give you kids you proudly show off as a product of your manlyness.(if that word exist) So coming here to say men dont enjoy i dont know what is radher stupid, why do you think women put up with men with small things in their trousers and dont humiliate men like this?
This is for the record (if you want to keep)- i am a perfect match for my hubby (go figure).

N.B. would you pls leave my father out of this?

Enjoy.
 
Back
Top Bottom