Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
kila nikijaribu ku-catch up na mada nashindwa!lol
Out of the key!
kila nikijaribu ku-catch up na mada nashindwa!lol
to be frank men wako kama watoto, wapenda waridhishwe wao tu bila kujali kama wake zao turidhika
kuna wengine hata ukimwambia my dia huoni mabadiliko, sijui ndo wana vichwa vigumu kuelewa!?sasa tukiwaendekeza hivyo na sie wake zao nani aturidhishe?....icwe mazoea bali iwe ya bahati mbaya cku 1-1 ndio haniridhishi, mie huwa mkweli kwake kwamba mzee leo hujacheza game kabisa.....
Jamani kweli mahusiano ya kimapenzi ni magumu sometimes,
Hii nimeikuta kwenye site moja, mwanamama analalamika kuwa mumewe kamwambia njia yake imekuwa kubwa so she must do something maana hamvutii tena!! na kuwa ameamua kutafuta nyumba ndogo!
Kilichonishangaza kule mie ni kuwa yule mwanamama anadai hajawahi toka nje ya ndoa yake kwa miaka yote mitatu na kuwa wana mtoto mmoja wa miezi minne ambaye alimpata kwa njia ya operation kwa maana hiyo njia haikupata msuko msuko wa kupush.
Sasa najiuliza sipati jibu kama je ni kweli njia imetanuka iwe sababu ya wewe kutafuta nyumba ndogo? katika hali ya kawaida ya mahusiano huyu mume kweli anampenda huyu mkewe? Maana hainiingii akilini kitend alichokifanya
Some Men never cease to amaize me kwa kweli!!
mkuu chrispin kweli jamaa anataka Longalonga kwa shillingi moja na ajishindie zaidi ya milioni ya za tz
naona mnaangalia upande mmoja tu, hivi mnajua karaha ya m kei mkubwa halafu umelegea, jamani msiombe hata hivyo jamaa anastahili sifa ya kuweza kumvumilia huyo dada, cha msingi ashukuru kukutana na mtu mwenye uvumilivu hivyo wanaume wengine(na hata hao wanaojitia kutetea hapa kuwa furahisha akina nyamayao, na carmel) wangetoka mbio siku ya kwanza tu.
naona mnaangalia upande mmoja tu, hivi mnajua karaha ya m Kei mkubwa halafu umelegea, jamani msiombe hata hivyo jamaa anastahili sifa ya kuweza kumvumilia huyo dada, cha msingi ashukuru kukutana na mtu mwenye uvumilivu hivyo wanaume wengine(na hata hao wanaojitia kutetea hapa kuwa furahisha akina nyamayao, na carmel) wangetoka mbio siku ya kwanza tu.
FL1 yani hapo hujaelewa kitu kabisa! Ukweli ni kuwa jamaa linataka kujiExpress na TiGo! Stuka wewe!
naona mnaangalia upande mmoja tu, hivi mnajua karaha ya m Kei mkubwa halafu umelegea, jamani msiombe hata hivyo jamaa anastahili sifa ya kuweza kumvumilia huyo dada, cha msingi ashukuru kukutana na mtu mwenye uvumilivu hivyo wanaume wengine(na hata hao wanaojitia kutetea hapa kuwa furahisha akina nyamayao, na carmel) wangetoka mbio siku ya kwanza tu.
What can we expect from you anyway? you are not married and you dont plan to, so its typical for you to say this. Those who you think are commenting to make nyamayao and carmel happy are the real men who understand that marriage is sacred, they also were sober and know what they were doing when they took that oath/marriage vows. Since you are just a boy, pls keep cool.
Umepona mpwa?
he is just a boyShosti ilibidi nimuulize kama amepona kwa vile nilisikia mgonjwa wa maleria na mafua makali labda haijaisha I did not expect this from him. Ametukashfu anamama mzazi kweli huyu.
Shosti ilibidi nimuulize kama amepona kwa vile nilisikia mgonjwa wa maleria na mafua makali labda haijaisha I did not expect this from him. Ametukashfu anamama mzazi kweli huyu.
he is just a boy
yawezekana kijogoo chake ndo kidog0 kama kidole siku zote ila mama wa watu (kwa jinsi wanawake tulivyo wavumilivu) akawa anaput up nacho
kama hujajua binamu si style yangu kabisa ku attack personalities, ila sishindwi kufanya hivyo. Ninasisitiza muulize mwanaume yeyeto hata ukiweza nenda kwa baba yako muulize angependa k ipi ndogo na mnato au kubwa na bwawa atakupa jibu nililokupa hapo juu. Vipi unakuwa offended inakugusa? mimi nitafurahi nikisikia mwanamke akisema kidude kidogo hakimfurahishi wala siwezi kuwa offended mwana mke akisema hapendi mwanamke mwenye ka kidole.