kwani kuna mahusiano ya ukubwa wa njia na habari ya kuzaa?mimi naamini ile habari ni elastic!
got it right! Kama ya wife sijaona tofauti ya kabla ya kabinti ketu na baada ya hapo. same same!
MIMI mazoezi yangu uwanja wake ni mdogo sana!tano kwa sita tu.na zoezi jingine kubwa ni kula taska chawoteHapa kuna watu itabidi uwatake radhi. Muzee Nguli na Jitu la Matizi Bwashee Geoff.
MIMI mazoezi yangu uwanja wake ni mdogo sana!tano kwa sita tu.na zoezi jingine kubwa ni kula taska chawote
Ni kweli kuwa ni elastic but mara nyingi after a number of child birth ile elasticity haiwi strong tena hasa kwenye muscles ambazo zinatend kuexperience enlargement kwa sababu ya stressful expansion wakati wa kujifungua. Multiple births mara nyingi husababisha muscles hizo kuwa loose au kulegea kiasi kwamba hata yale mazoezi tunayoshauriwa kuyafanya ya Kegal hayataimprove hali kiviiile kama mwanzo
Ni kweli kuwa ni elastic but mara nyingi after a number of child birth ile elasticity haiwi strong tena hasa kwenye muscles ambazo zinatend kuexperience enlargement kwa sababu ya stressful expansion wakati wa kujifungua. Multiple births mara nyingi husababisha muscles hizo kuwa loose au kulegea kiasi kwamba hata yale mazoezi tunayoshauriwa kuyafanya ya Kegal hayataimprove hali kiviiile kama mwanzo
Chaku nakubaliana na wewe kabisa kuwa ubunifu muhmu kinachonitatiza mie ni hii solution aliyochukua huyu mbaba. Kwani kama mtu unahisi utundu wa mwenzio umepungua si kuzungumza jamani? Si ndio maana ya communication katika mahusiano? Sema wifey siku hizi mwenzio sishibi vizuri bana hebu niambie kuna nini?
Sometimes ubunifu unazuiliwa na utendaji wa kazi wa boss wewe kila siku unabuni mbinu mpya za kuwafurahisha wakati Boss hata appreciation hakuna!! Hamu ya kuendelea kubuni unaitoa wapi?
Kuna mdada mmoja yye alikuwa anapoteza muda kule kwenye blog ya Dina akijifunza namna ya kukula muwa (kwani ndo alichokuwa anakipenda mumewe) basi anamfurahisha kila siku mwanaume akitaka tu utamwona analala chali akisubiri huduma. Akishakolea anamgeuza mwenzie haraka anaingia bila kujali kama mwenzie kaloa au lah. Mwanadada kila akimwambia naye anatamani kutembelewa south mr anamwambia yeye ana kinyaa (wakati enzi za uchumba wao alikuwa anakwenda!!) Saa ngapi mdada asiache naye, basi baba kaoa mke mdogo na sababu kubwa ni kuwa mkewe sikuhizi hamfurahishi kama zamani loh.
Sasa ubunifu utauendelezaje kwa mtu kama huyu? Raha ya ushindi ushereheke na wenzio!
to be frank men wako kama watoto, wapenda waridhishwe wao tu bila kujali kama wake zao turidhikamie wakati mwingine najichokeaga, kuna vijiamaneno vina dhorotesha ndoa/mapenzi sema ma watu yanajisemelea tu bila kujua anamkwaza mwenzie, ndio hapo sasa wao tukiwaambia hawaturidhishi inakuwa mambo mengine, mie najibinukiaga tu cku hizi waiii....hawana jema hawa watu.
mie wakati mwingine najichokeaga, kuna vijiamaneno vina dhorotesha ndoa/mapenzi sema ma watu yanajisemelea tu bila kujua anamkwaza mwenzie, ndio hapo sasa wao tukiwaambia hawaturidhishi inakuwa mambo mengine, mie najibinukiaga tu cku hizi waiii....hawana jema hawa watu.
kwani kuna mahusiano ya ukubwa wa njia na habari ya kuzaa?mimi naamini ile habari ni elastic!
to be frank men wako kama watoto, wapenda waridhishwe wao tu bila kujali kama wake zao turidhika
pole sana! lkn huo ndio ukweli, ni mara chache sana mnajali kuturidhishaHahaha! lao ndio nimejua wewe ni She. Lol! A married she! Pole sana. Mwambie mmeo wazi kuwa hujaridhika. Sometimes anakuwa hajui labda. Haya mambo yanahitaji experience ujue. Mechi za mchangani zinasaidia sana. Ila tukizicheza hizo huwa hampendagi sijui kwanini wakati mnalalamika hatuwaridhishi. Mi nachukiaga sana!
Nimeipenda hiyo bold. Imeonyesha your real feelings. Pole sana Nyamayao. Uvumilivu ndio silaha ya kutunza ndoa. Hiyo red hiyo! Hiyo red! Hiyo red nakwambia! We nyamayao wewe! Hehehe! Taratibu mama! You have made my day though! kakakaka! lol!