Eti!

Jaguar

JF-Expert Member
Mar 6, 2011
3,438
1,026
Ukiwa una drive gari yako kwa spidi ya mwanga(speed of light=3x10^8),then ukawasha headlights(taa za mbele) full,nini kitatokea kwa huo mwanga wa taa ulizowasha?
 
Ukiwa una drive gari yako kwa spidi ya mwanga(speed of light=3x10^8),then ukawasha headlights(taa za mbele) full,nini kitatokea kwa huo mwanga wa taa ulizowasha?
washa indicator kufanya jaribio la kuovertake mwanga kwani mtakua sambamba nao, pia hautaangaza kwani utafanywa kuishia kwenye balb.
 
Back
Top Bottom