washa indicator kufanya jaribio la kuovertake mwanga kwani mtakua sambamba nao, pia hautaangaza kwani utafanywa kuishia kwenye balb.Ukiwa una drive gari yako kwa spidi ya mwanga(speed of light=3x10^8),then ukawasha headlights(taa za mbele) full,nini kitatokea kwa huo mwanga wa taa ulizowasha?