bonna
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 855
- 520
Tuombe Mungu waendelee kukosa huu UJASIRI maana wakiwa nao itakua Balaa ahahahha...Ndoa nyingi zitavunjika na ma bachelor wenzangu tutakuwa hatarini kuoa......Ukweli ni kuwa Mwanaume kuchomoa kwa mdada alie mtongoza ni ngumu sana...ahahah sijui ntaanzia wapi labda....ahahah Hii kitu ni Busara za Mother Nature, Wanawake wakose UJASIRI.