Fredwash
JF-Expert Member
- Oct 27, 2009
- 1,041
- 1,375
Jamaa alisema hiyo ni mkakati wa kuimarisha ulinzi mifukoni, vinginevyo kilichoko mfukoni kwako umiliki wake unaweza kuhama bila wewe kujua
GRrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr! :hatari:
Jamaa alisema hiyo ni mkakati wa kuimarisha ulinzi mifukoni, vinginevyo kilichoko mfukoni kwako umiliki wake unaweza kuhama bila wewe kujua
Acha kejeli wewe!!! Mchaga gani amegombea urais 2010.
watu wengine bana!
Pigeni debe tu, sisi tunaendelea kusaka mahela, ngoja niwahi kariakoo nikacheki biashara zinaendaje, wewe wahii Bar.
HAKUNA KABILA LA WACHAGA;
Kuna WAKIBOSHO, WAMACHAME, WA ROMBO, WA-OLD MOSHI, WA-MARANGU n.k hawa jamaa ni tofauti ni kama walivyo WASUKUMA NA WANYAMWEZI (kuna mambo wanafanana lakini pia lugha zina tofauti kubwa) tuongeze makabila TZ moshi yapo makabila mengi. If I am wrong I am also open to correction with evidence.
Nji hii ni yetu sote aisee
jamaa alisema hiyo ni mkakati wa kuimarisha ulinzi mifukoni, vinginevyo kilichoko mfukoni kwako umiliki wake unaweza kuhama bila wewe kujua
kwa hiyo pale ni masawe leta mkono , kimey leta mkono tukiachana hapa tuachane salama?
we nata wewe ka sio mpare una hatari wewe!!!!!
haha kama wachaga fulani nasikia ukiwowa umekwisha kwani mtaa nbinaoishi zimebaki nyumba za kwa mama fulani huwezi sikia baba fulani