ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
Eti kwamba zamani ndugu wa kichaga walipogombana walikuwa wakiapizana
na kuvunja undugu ndo maana si ajabu kukuta majina koo nyingi za kichaga
yanapishana kidogo tu lakini unakuta wahusika hawajuani kabisa. Ila ukichunguza
pengine kisayansi kwa kutumia DNA uwezekano wa kugundua kuwa
wahusika ni ndugu wa damu ni mkubwa.
Hebu angalia majina haya!
Shao vs Shayo; Munishi vs Munisi, Lyaruu vs Lyatuu; Ngoma vs Nguma; Shuma vs Shirima; Mushi vs Moshi, Ngowi vs Ngoli, Kwai vs Swai. Mengine ongezeeni jamani!
Ila msikasirike jamani, nimelileta jukwaani kwa lengo la kuwekana sawa tu
mambo ya historia haya!
na kuvunja undugu ndo maana si ajabu kukuta majina koo nyingi za kichaga
yanapishana kidogo tu lakini unakuta wahusika hawajuani kabisa. Ila ukichunguza
pengine kisayansi kwa kutumia DNA uwezekano wa kugundua kuwa
wahusika ni ndugu wa damu ni mkubwa.
Hebu angalia majina haya!
Shao vs Shayo; Munishi vs Munisi, Lyaruu vs Lyatuu; Ngoma vs Nguma; Shuma vs Shirima; Mushi vs Moshi, Ngowi vs Ngoli, Kwai vs Swai. Mengine ongezeeni jamani!
Ila msikasirike jamani, nimelileta jukwaani kwa lengo la kuwekana sawa tu
mambo ya historia haya!